Mchezo wa Riadha

Mchezo wa Riadha

Well

Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
74
Reaction score
16
Habari yako mwanaJF, natumai umzima.

Napenda tujikumbushe kwenye riadha, kwani Watanzania wengi tumepuuzia huu mchezo na kuwaachia majirani zetu Kenya. Ninapenda tuwekeze pia na hapa, kwa sababu Wanariadha tupo wengi. Hata mimi pia sema nipo mbali kijijini huku, naombeni mtuwezeshe kiujumla, msaada wenu unahitajika.

Asante sana kwa kusoma uzi huu.

Shukrani..
 
Back
Top Bottom