ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
2-1Simba ya Tzn imeichapa AS VITA ya DRC Congo 2-0 katika mtanange uliokua was kusisimua
Vita wameonja makucha ya Simba na kutinga hatua ya robo fainali kuiwakolisha nchi na Kanda nzima ya EAC
Tafadhar kesho Gormahia msitie aibu EAC,heko Simba na Soka la Tzn
Wapi huko ambako hakufai2-1
kote hakufai
Congratulations to Simba SC ... must say that was a huge effort !!!Simba ya Tzn imeichapa AS VITA ya DRC Congo 2-0 katika mtanange uliokua was kusisimua
Vita wameonja makucha ya Simba na kutinga hatua ya robo fainali kuiwakolisha nchi na Kanda nzima ya EAC
Tafadhar kesho Gormahia msitie aibu EAC,heko Simba na Soka la Tzn
Achana nae chura huyo....kavurugwa na lipuli!
Nimepitiwa na wenge la ushindi,ni Simba 2-1 AS VITA ,mods please badirisheni heading wazalendo mawe washaanza matusi humu ndani
Kumbe raha yaani hadi timu ambazo hazijasonga mbele zinapewa kifuta jasho? Timu zetu zipambanie kuingia kwenye hatua hii ya mashindanoGor wapo ligi ndogo, Simba tupo champions league tunaiwakilisha E.A. Tunaogela mapesa na wenzetu kina Mazembe View attachment 1047382
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima wapewe kufika hatua ya makundi siyo kazi ndogo. The best 16 teams in Africa!Kumbe raha yaani hadi timu ambazo hazijasonga mbele zinapewa kifuta jasho? Timu zetu zipambanie kuingia kwenye hatua hii ya mashindano
Wap
Wapi huko ambako hakufai
Sasa twende polepole! Simba SC kwa kuingia robo fainali wanapata USD650.000.00?! Au CAF wamekosea, that is about Tshs.1.5 billion au siyo!? Loo hiki kitita cha nguvu na cha kutia moyo! Halafu na TFF wanapatia hapo hapo! Kazi kweli kweli. All the best Simba SC, wakati tukisubiri hizo draws za robo fainali hapo 20th March 2019.Gor wapo ligi ndogo, Simba tupo champions league tunaiwakilisha E.A. Tunaogela mapesa na wenzetu kina Mazembe View attachment 1047382
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna lolote.. una tetea vyura wenzako [emoji2]. Jana nilikua uwanjani nilikaa jukwaa la Yanga, mliungana na wakongo mkaanza kukata mauno! Matokeo yake tukawajaza mimba.Mfumo wa JF utakua umenizingua, nilitaka kusema jinsi mashabiki wa Simba wamekua ovyoo kwamba nimeona wanavyokejeli wa Yanga ilhali hawa hawa wa Yanga jana walikua wazalendo na kushabikia Simba.