Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongozi wa TFF unatatizoKuna sehemu nimesoma Zitto anasema soka si suala la muungano hivyo finali ya CRDB kuchezwa huko si sahihi. Nini maoni yako mdau wa soka na muungano!
Yuko sahihi hata Kanuni zetu za mpira zinasema, shindano lolote linalofanyika Bara haliwezi kufanyika nje ya mipaka hiyo,ndiyo maana Simba walikataliwa kwenda kucheza mechi za ligi Aman complexKuna sehemu nimesoma Zitto anasema soka si suala la muungano hivyo finali ya CRDB kuchezwa huko si sahihi. Nini maoni yako mdau wa soka na muungano!
Je haiwezi kuwa kwa sababu mdhamini mkuu yupo huko pia?!Yuko sahihi hata Kanuni zetu za mpira zinasema, shindano lolote linalofanyika Bara haliwezi kufanyika nje ya mipaka hiyo,ndiyo maana Simba walikataliwa kwenda kucheza mechi za ligi Aman complex
Yuko sahihi kabisa.Kuna sehemu nimesoma Zitto anasema soka si suala la muungano hivyo finali ya CRDB kuchezwa huko si sahihi. Nini maoni yako mdau wa soka na muungano!
Lakini mdhamini mkuu ana matawi Zanzibar pia...huenda ikawa ndo sababu?!Mechi zote kuanzia ngazi za awali hakuna hata mechi moja imepelekwa zanzibar, mechi zote zaidi ya 60 kuanzia ngazi ya awali zote zimepigwa hapa hapa bongo. Mechi hiyo inatakiwa ipigwe pale pale manyara na sio Zanzibar
Hivi hiyo fainali ingekuwa kagera sugar na mbeya city ingehama uwanja kisa matawi ya mdahmini?Lakini mdhamini mkuu ana matawi Zanzibar pia...huenda ikawa ndo sababu?!
Tujiulize, hiyo "Nchi jirani",wao wanaweza kuleta huku fainali ya mashindano yao yoyote?Lakini mdhamini mkuu ana matawi Zanzibar pia...huenda ikawa ndo sababu?!
Ina-set precedent mbaya ya uvurugani wa kanuni kwa hiyo next time mtu anaweza kupeleka mashindano Juba. TFF wasikubaliwe kujiamulia mambo yao bila kanuniKwani mechi ikichezwa huko kinapungua nini? By the way uwanja wa Amaan ni mzuri kuliko huo wa Babati. Hoja ya wapingaji ni ipi?
Kwa hiyo mdhamini mkuu akiwa na shangazi yake Somalia na mtoto wa shangazi ni mpenzi wa mojawapo ya timu tutapeleka mechi huko Somalia? By the way kanuni zinasemaje?Lakini mdhamini mkuu ana matawi Zanzibar pia...huenda ikawa ndo sababu?!