Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki wa uto akili zenu huwa mnaweka wapi?
keeper nahisi alipewa bahasha akona hakuna draw akajaribu kuwapa goli la bureUnashangaa hiyo?tumeshuhudia dkk 14...hapo zikiongezwa 1st half na 2nd half dkk 12
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Utopolo hao baada ya kupigwa goli la toboo na okraMashabiki wa uto akili zenu huwa mnaweka wapi?
Hukuona mechi imeongezwa dakika 13?
Natamani hii sheria ije huku pia maana kuna wajinga wanafaidika na kujiangusha angusha ili mechi ichezwe dakika pungufu ya 90
Ingekuwa Mghana ndio kaanguka yaan hiyo VAR ambavyo ingekimbiliwaaYule refa aliyemzawadia Ronaldo penati ya mchongo, ni ushahidi tosha wa waamuzi wengi wakiwemo hawa wa kwetu, kutokuwa makini kwenye maamuzi yao.
Kwa sasa yule jamaa anachezea tu jina. Kiwango kimekwisha. Ghana hawakutendewa haki. Hata goli la 3 lenyewe ni offside ya wazi kabisa!Ingekuwa Mghana ndio kaanguka yaan hiyo VAR ambavyo ingekimbiliwaa
Jana hawajatenda haki kabisaKwa sasa yule jamaa anachezea tu jina. Kiwango kimekwisha. Ghana hawakutendewa haki. Hata goli la 3 lenyewe ni offside ya wazi kabisa!
Tumekuwa tukiwashutumu waamuzi wetu kuhongwa, kumbe makosa yao ni ya dunia nzima!
Hao Ghana acha wafungwe tu wao wenyewe walipewa penalty ya kijanja janja kwenye qualifications dhidi ya South Africa malipo ni hapa hapaYule refa aliyemzawadia Ronaldo penati ya mchongo, ni ushahidi tosha wa waamuzi wengi wakiwemo hawa wa kwetu, kutokuwa makini kwenye maamuzi yao.
Sivyo hivyo tu hata muda wa Timu kushangilia kupitiliza unakuwa recorded then unafidiwa. Mkuu wa Marefa wa FIFA Collina alitangaza hivyo kabla ya Mechi za Kombe la Dunia halijaanza. Wenye tabia ya kujiangusha waendelee tuKombe hili la Dunia kila match inaongezwa takriban Dakika kumi kufidia muda uliopotea kwenye substitution,matibabu nk. Match ya Wales zimeongezwa almost dakika 11.