Jana nimebahatika kuuona mchezo wa Yanga na Waarabu kupitia luninga. Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Kwa kweli Yanga wanatakiwa wakaze buti vinginevyo wataambulia patupu. Jana wale Waarabu walitawala uwanja mzima na walikuwa wananacheza kama wanavyotaka. Pasi za Yanga hazikuwa maakini kabisa. Kwa siku hizi zilizobaki mfanye masahihisho makubwa. Lugha ya kuwa Waarabu hawachomoki ilikuwa ni danganya toto.