Asante kwa kutambua Ubora wa kikosi cha Simba... Ila tambua tu Kocha wa kikosi hicho ni Patrick.zahera ni bonge la kocha huwez mlinganisha na uchebe .zahera angekuwa na timu kama simba mambo yangekuwa moto sana
Ninyi amkeni, mnatapelewa na ZaheraHii vita dhidi ya Zahera ni mkakati wa watu maalum, Mechi za majaribio na za mwanzo
kabisa wa msimu haziwezi kutupeleka huko, Ndio kwanza timu anaisuka lakini tunahitaji
matokeo mazuri ya Harak, Kwanini hatujifunzi kwa Liverpool?
Zahera uwezo wake ndio ule ule Kama umemsoma awezi akabadilika awezi akajenga timu itayokua inacheza mpira wa kueleweka ila timu ya kubahatisha kushinda goli moja moja la ajabu uwezo huo anao....ndomana kwa mbinu za zahera kule Botswana kushinda ni ngumu ile angekua kaahinda Taifa kule angeweza kulinda ushindizahera ni bonge la kocha huwez mlinganisha na uchebe .zahera angekuwa na timu kama simba mambo yangekuwa moto sana
Kwanini simba na sio yanga aliyonayo?zahera ni bonge la kocha huwez mlinganisha na uchebe .zahera angekuwa na timu kama simba mambo yangekuwa moto sana
Taifa gas,afya water,gsm na sport pesa bado mabakuli mnayotembeza kila kukicha!!Yanga ina wadhamini wangapi ambao ni wengi kuliko timu zote?acha ndoto mkuu nitajie wadhamini hao tuone.
Umesahau marefa hapo kwenye list ya anaowakashifuKwa msimu huu zahera hana pa kushika kama kweli timu itafanya vibaya,kwanza nadhani kwenye financials yanga ndo timu inayoongoza kwa kuwa na wadhamini kuliko timu yoyote inayoshiriki ligi kuu,kuhusu wachezaji wote waliosajiliwa ni pendekezo la mwalimu, mengine yatakayo tokea itakua ni ubovu wa mwalimu na hakuna kitu kingine..
Tatizo la zahera ni dharau,huyu bwana alikuja na fikra mbovu sana juu ya ligi yetu,yeye kuishi ufarasa alifikiri labda bongo hapa hakuna mtu amewai kufika ubeligiji,kwenye interview zake huwezi kumsikia akizungumzia maswala ya ufundi wa timu yake,mara zote yeye ni kukashfu viwanja,wqchezaji wa timu pinzani na viwanja..
Hilo goli la mapema watalifungaje???Baada ya kufanyika usajili , jambo pekee ambalo mashabiki wa Yanga wanataka kuona, ni timu yao ikifanya vizuri
Ukiachana na michezo ya kirafiki ambayo Yanga imecheza, matokeo ya mchezo wa kwanza wa ligi ya mabingwa dhidi ya Township Rollers hayakuwafurahisha wengi hasa ikizingatiwa mchezo huo ulipigwa ardhi ya nyumbani
Tayari baadhi ya mashabiki wameanza kuhoji uwezo wa kocha Zahera katika kuipa mafanikio timu hiyo msimu huu
Ni jambo la kawaida hasa pale timu inapokuwa haipati matokeo ingawa bado ni mapema sana, lakini hali hiyo ilitarajiwa
Kwa misimu miwili Yanga haikuwa katika ubora wake wa miaka mingi, hivyo baada ya usajili wa nyota wengi wapya, mashabiki walitarajia kuiona Yanga mpya
Kocha Mwinyi Zahera anafahamu kama Yanga itaondoshwa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa hatua hii ya awali, basi atakuwa kwenye wakati mgumu
Na pengine hiyo ndio sababu iliyomfanya achukizwe na ziara ya timu yake mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ambapo alibainisha kuwa haikuisaidia timu kwa kuwa walicheza kwenye mazingira ya viwanja ambavyo haviendani na mazingira watakayocheza huko Botswana
Hata hivyo uongozi wa Yanga umesema ziara hiyo iliikuwa na manufaa na iliandaliwa kwa matakwa ya benchi la ufundi
Lakini jambo la msingi kwake ni kuhakikisha Yanga inashinda ugenini ili kuweza kusonga mbele raundi ya kwanza
Matokeo tofauti na ushindi, yatamuweka kwenye wakati mgumu mbele ya mashabiki wa timu hiyo ambao wengi wameendelea kumuunga mkono licha ya kutoridhishwa na matokeo ya michezo ya hivi karibuni
Katika moja ya mahojiano yake, Zahera alisema wamedhamiria kushinda ugenini, lengo likiwa kupata bao mapema ili kuwaweka kwenye presha Township Rollers watakaokuwa wakicheza nyumbani
Pengine huu ndio mchezo ambao Wanayanga wataishuhudia ile timu yao halisi wanayoitaka
Lakini kama mambo yakienda 'kombo', mchezo huo utazidi kumpunguzia imani Zahera
Kwani siku zote, makocha wanaajiriwa ili wafukuzwe pale inapotokea timu haifanyi vizuri.
matamshi kama haya kwa mgonjwa anakufa hata siku badoPale lazima vyura wafe 2 bila
Nani ampe timu kama simba kocha wa kiwango duni na visingizio kama yulezahera ni bonge la kocha huwez mlinganisha na uchebe .zahera angekuwa na timu kama simba mambo yangekuwa moto sana