Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
duh!!!hebu angusha recipe hapa wengine wafaidi...mchicha ndio mboga yangu ya kila siku 🙂))
mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia!
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??
na hivi unapikwa kwa muda mfupi hapo si balaa!!!Hata mi nilishawahi dokezwa eti mchicha unaofaa ni ule wa kwenye mitaro ya bafu na choo cha uswahilini.
Mkuu ni kweli?
macho bado yanaona vizuri kweli? maana nahisi kama vitamini na protin zote unazimaliza mwilini.:focus: ni kweli ukijiamni mbana mambo yote yaenda sawa tu!Mbona manapaparika wazeee? au mnaosisitiza muelezwe jinsi ya kuandaa mnamatatizo? au hamjiamini? its better ujiamini ukijiamini unagonga mapaka vitano mpaka asubuhi mie sijawahi kutumia kitu chochote za kuongeza nguvu na daily nagonga not less than three na kuna wakati kabla ya kulala nagonga viwili na asubuhi viwili vya kuunganisha...............