Lazima tuheshimiane tu mjini hapa na hii hali ya kufunga mkanda chini ya JPM.Waache wachina wafanye yao wote tuendeshe magari mazuri,alianza na Pikipiki wakati mjapani anauza bei kubwa Honda na Yamaha yeye akapindua sasa kaja na Luxury Cars.Kwenye Mabasi ndiyo usiseme Scania wanaisoma namba sasahivi.Shikamoo Mhe.Xi Jinping