Mchina anayetuhumiwa kwa kukufuru atiwa mbaroni nchini Pakistan

Mchina anayetuhumiwa kwa kukufuru atiwa mbaroni nchini Pakistan

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Raia wa Uchina anayefanya kazi katika mradi wa umeme wa maji amekanusha madai yaliyotolewa na wafanyikazi wenzake wakidai alikufuru kwa kutoa maneno ya kashfa kwa Mungu na Mtume Mohammed hali iliyopelekea maandamano huku watu wakidai auwawe.

Nchini Pakistan Madai ya kukufuru yamesababisha maandamano na ghasia za umati. Waandamanaji huko katika jiji la Lahore pia waliandamana Aprili 17, 2023, dhidi ya mwanamke Mwislamu ambaye alikamatwa hivi majuzi kwa mashtaka ya kukufuru baada ya kudaiwa kudai kuwa yeye ni nabii wa Kiislamu.

Mahakama nchini Pakistani imeamuru raia wa China anayeshtakiwa kwa kukufuru awekwe rumande kwa wiki mbili, polisi wamesema. Mwanamume huyo, aliyetambulika kwa jina moja tu la Bw. Tian, katika madai rasmi ya polisi, alikanusha shitaka lililotolewa na wafanyakazi wenzake wakati wa kufikishwa mahakamani katika jiji la Abbotabad Jumatatu jioni.

Endelea kusoma hapa chini:

 
Pakistan ni a secular state kwani sio wote ni waislamu kwani kuna wakristo japo ni asilimia ndogo sana na wengine wamelazimika kukimbilia nchi za magharibi kufuatia manyanyaso wanaofanyiwa na makundi ya kiislam yenye misimamo mikali.

Ukisoma hiyo taarifa hapo juu, utaona jinsi jamii ya wapakistani walivyo bado na primitive mindset kuliko hata mataifa mengi ya mashariki ya kati.
 
Raia wa Uchina anayefanya kazi katika mradi wa umeme wa maji amekanusha madai yaliyotolewa na wafanyikazi wenzake wakidai alikufuru kwa kutoa maneno ya kashfa kwa Mungu na Mtume Mohammed hali iliyopelekea maandamano huku watu wakidai auwawe.

Nchini Pakistan Madai ya kukufuru yamesababisha maandamano na ghasia za umati. Waandamanaji huko katika jiji la Lahore pia waliandamana Aprili 17, 2023, dhidi ya mwanamke Mwislamu ambaye alikamatwa hivi majuzi kwa mashtaka ya kukufuru baada ya kudaiwa kudai kuwa yeye ni nabii wa Kiislamu.

Mahakama nchini Pakistani imeamuru raia wa China anayeshtakiwa kwa kukufuru awekwe rumande kwa wiki mbili, polisi wamesema. Mwanamume huyo, aliyetambulika kwa jina moja tu la Bw. Tian, katika madai rasmi ya polisi, alikanusha shitaka lililotolewa na wafanyakazi wenzake wakati wa kufikishwa mahakamani katika jiji la Abbotabad Jumatatu jioni.

Endelea kusoma hapa chini:

Hao wafanyakazi wenzake waliotoa hiyo taarifa ni Wachina au Wapakistani? Kama ni Wapakistani inawezekana wamemchomesha kutokana na ubaguzi, na kama ni Wachina basi kumbe nao ni wana mambo ya kuchomeana, labda jamaa alikuwa mnoko mnoko!
 
Mchina anapima kina cha maji kwenye nchi ya wenyewe...
 
Na wale hawana dini wakifa wanaenda wapi , Kabla ya dini kuja Nchini Wadanganyika walikuwa wanaabudu wapi , ina maana watu wote waliokufa kabla ya hizi dini za kuletwa na Meli hawakuiona peponi sio ,kama Dini ya RC ililetwa mwaka 1889 ,hao watu waliokufa kabla inakuaje
 
Back
Top Bottom