Go back to class, this English sounds pathetic.
Hoja ni kwamba mfumo mlio nao wa elimu ni wa kutupwa!
migodi ya dhahabu mloibiwa na Wale ni dhihirisho kuwa nyie kizungu kimeshawapiga chenga kwelikweli.
Hujui Kiswahili wala Kiingereza. Zungumza Gikuyu uelewekeGo back to class, this English sounds pathetic.
Hoja ni kwamba mfumo mlio nao wa elimu ni wa kutupwa!
migodi ya dhahabu mloibiwa na Wale ni dhihirisho kuwa nyie kizungu kimeshawapiga chenga kwelikweli.
Sio kwamba mnajua leo ndio mumekua mkiibiwa, mumelijua miaka yote ila kwa uzembe wa kuhoji na kutotaka kusoma mikataba mkaishia kuliwa hadi mifupa.
Hizo blablah zako za kila siku eti Kenya mali ya wazungu n.k. tushazizoea na huwa hatuzijibu tena maana hamjakaririshwa mapya, ni yale yale mliambiwa tangu awali hadi siku mpewe updates kama softwares mtaendelea kuimba huo wimbo.
Cha msingi Kenya hatukuanza kujitambua leo kama mnavyofanya, hatua za kujitambua tulishazipita na leo hii tunavuna. Tatizo lenu kubwa ni nyie wapiganiaji wa CCM kwenye mitandao, mumetamausha wasomi wengi wa Tanzania wanaothubutu kuhoji chochote kwenye mitandao, huwa naona kila msomi akihoji kwenye jukwaa zenu za siasa jinsi wewe na wenzio huwa mnatiririka humo na kuzima na kuharibu hiyo mijadala.
Yaani huwa mpo kama robots, akiibuka Mtanzania na mada inayohoji chochote huwa hamchelewi kumzima na kuharibu nyuzi.
Msingekua mnafanya hayo labda hata madini hayangeliwa kiasi hicho, lakini kwa vihela vidogo mnavyolipwa kuharibu nyuzi za watu wanaohoji, mnaachia mambo yanakuja kulipuka baadaye sana tayari kumekucha mchanga umetoweka kwa makontena miaka yote.
Miaka 50 ya Uhuru wa Tz na Mchanga wa dhahabu wapi na wapi, dhahabu zimeanza kuchimbwa 1998.
Nani huwaeleza hizi hadithi za sungura?Nani amekudanganya Kenya imejitambua? Labda maelite wa Kenya akina Njonjo and the likes lkn siyo wenzangu na mimi wa Pokot huko, Kenya inaibiwa na wageni klk Tanzania tena kwa mbali sana na ni kila mahali kuanzia ardhi ya Kenya sehemu kubwa iko mikononi mwa wageni sehemu kubwa ya Rift Valley yote ni ya Muzungu na corrupt Politicians, hata British royal familly wanamiliki sehemu kubwa sana ya Kenya, huko kuna sehemu nimosoma inaitwa Laikipwa mpaka wananchi wameamua kuvamia kudai ardhi yao!
Kenya hata kuna British Military base kubwa nani anajua mkataba unasemaje? Kenya ina majeshi Somalia na kwingineko mnadanganya ni kupamba na Al Shabaab, Kenya inawahusu Al Shabaab?
Nani huwaeleza hizi hadithi za sungura?
I am one of the harshest critics of our news media industry... they are so emotive and very lazy. When they say people with political connections, yet govt is the biggest spender in Kenya. My advise read business news and sports news alone, politics you can but the headline is just enough, the amount of bs in our papers annoys me. Even the businesss and sports news you have to be careful because the journalists don't do anything. They probably copy paste each other. Na kwa tv wanasema tu allegedly, to cover their ass.Political families own half of private wealth
POSTED 20/2/2014
People with political connections control more than 50 per cent of the Kenya’s wealth that is owned by individuals, a new report has shown.
Highlighting this as one of the factors that could negatively impact on Kenya economic growth in future, the Wealth in Kenya 2014 report says that a common thread running through almost all the dollar millionaires is their political connections as well as their ownership of large tracts of land.
The list of the wealthy political dynasties and billionaire landowners reflects Kenya’s top political leadership.
However, the report does not give details about how their wealth was acquired and does not suggest in any way that the wealth was acquired irregularly.
The Kenyatta, Moi, Kibaki, Karume, Kulei, Biwott, Nyachae, Odinga, Saitoti, Michuki and Mwau families are listed among the wealthiest in the report compiled by a British organisation. The same families also own large tracks of land.
Other large individual land owners include Mr Swaleh Nguru, Mr Saleh Said Sherman, Mr Tahir Sheikh Said (TSS) and Kamlesh Pattni.
The group is likely to get even richer because property prices continue to rise.
Kenya’s wealthiest political dynasties
inferiority complex ni kitu kibaya sana...you cant argue with a person who is not at the same level as you wewe unatoa facts yeye ni kuleta ma picha na screen shots...wakishindwa na topic wanaleta picha za kibera ama ma screen shots za street children..tanzanians our 4th estate which is media is free and fair you can post anything or write about anything i was watching channel ten news walai ni kama kbc ya kenya kusifu serikali kila uchao alafu taarifa za kimataifa ya kenya wanatangaza stori za nyeri ati ooh mume ameua mke negative news..lakini as we know mti yenye matunda matamu ndio unarushiwa mawe sana
Nani huwaeleza hizi hadithi za sungura?
inferiority complex ni kitu kibaya sana...you cant argue with a person who is not at the same level as you wewe unatoa facts yeye ni kuleta ma picha na screen shots...wakishindwa na topic wanaleta picha za kibera ama ma screen shots za street children..tanzanians our 4th estate which is media is free and fair you can post anything or write about anything i was watching channel ten news walai ni kama kbc ya kenya kusifu serikali kila uchao alafu taarifa za kimataifa ya kenya wanatangaza stori za nyeri ati ooh mume ameua mke negative news..lakini as we know mti yenye matunda matamu ndio unarushiwa mawe sana
inferiority complex ni kitu kibaya sana...you cant argue with a person who is not at the same level as you wewe unatoa facts yeye ni kuleta ma picha na screen shots...wakishindwa na topic wanaleta picha za kibera ama ma screen shots za street children..tanzanians our 4th estate which is media is free and fair you can post anything or write about anything i was watching channel ten news walai ni kama kbc ya kenya kusifu serikali kila uchao alafu taarifa za kimataifa ya kenya wanatangaza stori za nyeri ati ooh mume ameua mke negative news..lakini as we know mti yenye matunda matamu ndio unarushiwa mawe sana
I normally ignore those copy pasting stuffs, most of these guys can't debate efficiently and will seek attention by copy pasting every dirt out there. The best thing is to ignore and continue. For me unless someone proves their ability to debate, anything they tag in here is null and void.
If it's about copy pasting dirt of every country, then there is not one single nation that can remain standing because even in America there are street families.
So always ignore and move on to discussing with those intelligent enough to debate.
Nani amekudanganya Kenya imejitambua? Labda maelite wa Kenya akina Njonjo and the likes lkn siyo wenzangu na mimi wa Pokot huko, Kenya inaibiwa na wageni klk Tanzania tena kwa mbali sana na ni kila mahali kuanzia ardhi ya Kenya sehemu kubwa iko mikononi mwa wageni sehemu kubwa ya Rift Valley yote ni ya Muzungu na corrupt Politicians, hata British royal familly wanamiliki sehemu kubwa sana ya Kenya, huko kuna sehemu nimosoma inaitwa Laikipwa mpaka wananchi wameamua kuvamia kudai ardhi yao!
Kenya hata kuna British Military base kubwa nani anajua mkataba unasemaje? Kenya ina majeshi Somalia na kwingineko mnadanganya ni kupamba na Al Shabaab, Kenya inawahusu Al Shabaab?
Wewe hauwezi jua maana binafsi hujajitambua, muda mwingi kazi yako kuharibu nyuzi za wanaohoji huko kwenu. Pili hauwezi kujua maana Kenya huijui, unategemea yale ulikaririshwa Lumumba street ili kuyatumia kwenye mitandao, hadi pale utapewa taarifa mpya za kuhusu Kenya, kwa sasa utaendelea na hayo ya Kenya kumilikiwa na wazungu.
ulishawah kupanda express za Japan au German zikiwa zimejaa watu? au ulishawah kupanda roalcoster au kupigwa kibao cha uso ukahic kizunguzungu basi na izo treni ukipanda Mara ya kwanza uliyezoea daladala za mwenge posta speed 40 , andaa Panadol kama hao wakenyaNinawashauri Kenya waachane na outdated Mchina's train system just becasuse its free for now. (They must be sure that in the end they will have to pay for the loan)... Nimesikia jinsi hiyo train invayoenda utadhani fundi karai wanagonga nyundo. Yani ukitoka Mombasa mpaka ufike Nairobi, kichwa lazima kiume, au la sivyo ubebe Panadol!
Hiyo railway in the worst case scenario inafaa kuwa reli ya kubeba mizigo, not passengers!
Wewe ndio bingwa wa kuleta habari za ombaomba Watanzania humu, umeshindwa hoja tulia. Acha kulialia.
Ndio ukileta hizo copy paste zako onyesha kwamba umesoma na kuelewa nini umekisoma humo kwa kukijadili, sasa ukiishi hayo maisha ya kucopy paste hutaweza hata kujifunza chochote, wengi huwa tunazipita hadi pale tutamkuta mtu anayejadili hoja.
Katafute hizo copy/paste lakini tanguliza na maelezo ya kuonyesha uelewa wako, bure utajaza server za watu bure na hakuna mtu anazisoma, tunazipita tu.
Hivyo ukiona unahangaika kucopy/past vitu humu na watu hawakujibu jua hakuna anayevisoma.
Sasa wewe ukileta habari za ombaomba ndio unaonesha uelewa gani? Hizo copy/paste huwa zinajibu hoja zenu moja kwa moja.