mchina balaa tupu!

Cyprian shayo

Member
Joined
Sep 25, 2011
Posts
17
Reaction score
0
umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia
 
mmmk kazii kweli kweli , hao wenze2 kweli balaa........... embu endelea ku2juza zaid ndugu.
 
akyamungu....kama ni hivyo watatumaliza

tunajimaliza wenyewe kwani huwa wanamfuata mtu nyumbani kwake au wanakulazimisha kutumia ni ulimbukeni wa maisha ndo unatuponza:lol::lock1:
 
tunajimaliza wenyewe kwani huwa wanamfuata mtu nyumbani kwake au wanakulazimisha kutumia ni ulimbukeni wa maisha ndo unatuponza:lol::lock1:

Nakubaliana nawe
 
Hata sijaelewa hapa haki ya Mungu...........................!
 
Acheni ujinga mbona mnaanza mambo ya utoto wa Facebook!
 
umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia

Uwongo mtupu huu!!
 
Wengine karibu watanza kuabudu wa china.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…