funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Jamani jamani mchina ni noma hapa TZ kashika kila kona ya bidhaa
Mwanzo alianza kwa kuuza madawa asilia sabuni na dawa za mswaki, baadae akaja kwenye gari haswa za kunyoosha magari, akaja na kuleta pikipiki na dawa za kuongeza maumbile ya mwili (hips, wowowo, mbunye, uume n.k) sasa kwa sasa hivi ameshika kila kona kuanzia nguo, mataulo, mashuka, sabuni, dawa za meno, ped, vifaa vya ujenzi, simenti, rangi, vifaa vya electronic, mabasi, magari, viatu, karanga, tambi, ice cream (cone), maziwa ya unga, maji ya chupa, madaftari, kalamu, kompyuta, calculator, vyombo
Halafu bidhaa zao hata hawa-advertise zinajiuza zenyewe na zina soko kinoma nadhani sasa watatuuzia mpaka bastola za kichina hizo za kupigia mkwara tu risasi ikikupata ufi ila mlio ni mkubwa unaweza ukazimia nasikia walizileta sabasaba zikapigwa marufuku
Mwanzo alianza kwa kuuza madawa asilia sabuni na dawa za mswaki, baadae akaja kwenye gari haswa za kunyoosha magari, akaja na kuleta pikipiki na dawa za kuongeza maumbile ya mwili (hips, wowowo, mbunye, uume n.k) sasa kwa sasa hivi ameshika kila kona kuanzia nguo, mataulo, mashuka, sabuni, dawa za meno, ped, vifaa vya ujenzi, simenti, rangi, vifaa vya electronic, mabasi, magari, viatu, karanga, tambi, ice cream (cone), maziwa ya unga, maji ya chupa, madaftari, kalamu, kompyuta, calculator, vyombo
Halafu bidhaa zao hata hawa-advertise zinajiuza zenyewe na zina soko kinoma nadhani sasa watatuuzia mpaka bastola za kichina hizo za kupigia mkwara tu risasi ikikupata ufi ila mlio ni mkubwa unaweza ukazimia nasikia walizileta sabasaba zikapigwa marufuku