Pre GE2025 Mchinjita: ACT Wazalendo haitumikii CCM tulimpa nafasi Rais Samia lakini hajatekeleza

Pre GE2025 Mchinjita: ACT Wazalendo haitumikii CCM tulimpa nafasi Rais Samia lakini hajatekeleza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Chama cha ACT Wazalendo kimesema hakijawahi kutumika na CCM kama ambavyo inasemwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani hapa nchini badala yake chama hicho kimekuwa mstari wa mbele kusimamia ajenda inazoziamini pale inapoona kuna mambo hayako sawa

Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Tanzania Bara Isihaka Mchinjita amekanusha madai hayo alipofanya mahojiano maalum na Jambo TV hivi karibuni ambapo ametupa 'jiwe gizani' kwa kudai kuwa baadhi ya vyama vimetoa tunzo ambayo kiini chake hakijulikani kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
 
Back
Top Bottom