Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
"Kuchora? Kuchora kitu gani, unaweza ukachora na bado usione ndani""Skiza man si umemcheck dem pajan ana tattoo we unadhan kamchora nan? .
R. I. P Cow bama
Kuna mapumbavu yanadai tetema ni mziki bora daaah...hizi njaa zitatuua kutetea ujinga ujinga hata usiofaa ktk jamii[emoji57][emoji34]
"Nani kamwaga pombe yangu, nye..zi, taarabu mara singeli" hala...kizazi chetu cha chipsi kuku mataira hiki..[emoji19][emoji87]Huko watadai ngum... hapa tetema hapa mpenzi ya dudubaya...
Hi mistari huwa inanifurahisha sana."Usilete dharau dogo takupa za chembe"
"Nguse nkuchanechane na viwembe"
That's great idea.Remix ije na mchizi watatu ambaye ndo mmiliki halisi wa mimba.
daah,ngwair kawahi sana kisepa wallah,hii ngoma walijibizana kibabe,mm ukiniuliza nani alifunikwa kwny hii ngoma jibu sina,kweli mziki halisi wa bongo ulikuwa zamaniHawajamaa walikua more than motivational speaker! Walikua wanazungumza mambo ambayo yanagusa na kuibadirisha Jamii in a positive way!
Ukisikiliza nyimbo hii unaona kabisa utofauti wa mahusiano ya wakati huo na wakati wa sasa..
Nani atakubali kwamba huyu demu wangu huku akiwa teyari amewekwa mimba nowdays!
R.I.P mchizi wa East zoo! Ma ngwair