Mchochezi ni nani?

japanese

Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
13
Reaction score
16
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na hii dhana ya uchochezi hasa kupitia mitandao ya kijamii. Dhana hii sasa imekuwa ni kibano kikali kwa watoa maoni wote katika mitandao na wengi wetu tumeathiriwa kwa namna moja au nyingine. Wengi wa wanaoingia kwenye kadhia hii huishia kuwa na mashtaka ambayo yanakosa mashiko kwenye vyombo vya haki kwa kukosekana kwa ushahidi uliobayana kuwatia hatiani.
 
Ambae anapenda kula gizani ukiwasha taa anakuitia polisi (ccm) hawataki uyaweke bayana maovu yao.
 
Yeyote anayekosoa baya litendwalo na serikali ya awamu ya tano
 
..."Goodluck Abel upo wapi Kamanda?.Post yako ya mwisho ni trh 25/8/2017."...
 
Watanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…