Ngonepi
JF-Expert Member
- Jun 2, 2013
- 1,872
- 1,207
Nikiwa kichupa kidoogo jana nimemsikia mtu kama Adam Mchomvu akitangaza Times Fm.
Muishio Dar zinakosikika kwa uzuri hizi maredio ni kweli jamaa kasepa!!
Ikiwa ni kweli naona Clouds ikizidi kuporomoka maana kwamimi mshkaji ni mmojawapo wa waliokuwa wanaweza kunifanya niendelee kuisikiliza.
Muishio Dar zinakosikika kwa uzuri hizi maredio ni kweli jamaa kasepa!!
Ikiwa ni kweli naona Clouds ikizidi kuporomoka maana kwamimi mshkaji ni mmojawapo wa waliokuwa wanaweza kunifanya niendelee kuisikiliza.