[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ungeacha chuo na kurudi jeshini, mbona hukua umechelewa bado.Nilipata nafas ya kwenda koz jeshin lakin mpenz wangu akaniambia mi nataka kuoa mwl,nikaenda kusomea ualimu nikiwa bado nipo mwaka wa kwanza akaniacha eti sijui kukata kiuno kwa bed
Una matukio sio mchezoNilipata nafas ya kwenda koz jeshin lakin mpenz wangu akaniambia mi nataka kuoa mwl,nikaenda kusomea ualimu nikiwa bado nipo mwaka wa kwanza akaniacha eti sijui kukata kiuno kwa bed
Duh! [emoji1787][emoji1787]Aiseee mshauri wangu bhna!!Nilipata nafas ya kwenda koz jeshin lakin mpenz wangu akaniambia mi nataka kuoa mwl,nikaenda kusomea ualimu nikiwa bado nipo mwaka wa kwanza akaniacha eti sijui kukata kiuno kwa bed
Mlikua hamjashonana bado ikabidi atangaze ndoa ili apate tunda. Mlivyoshonana akaiona hiyo kama kasoro?Nilipata nafas ya kwenda koz jeshin lakin mpenz wangu akaniambia mi nataka kuoa mwl,nikaenda kusomea ualimu nikiwa bado nipo mwaka wa kwanza akaniacha eti sijui kukata kiuno kwa bed
Afu viuno vya kujilazimisha havinogagi mbona,viuno huja automatically kwa mwanamke akizidiwa na hamuMlikua hamjashonana bado ikabidi atangaze ndoa ili apate tunda. Mlivyoshonana akaiona hiyo kama kasoro?
Bro Amiri anasema hapendi mwanamke mchakarikaji on bed yeye anapenda mwanamke anayeugulia na kutoa sauti za kuhamasisha
Ha ha haa,ndo ujue nami nina majanga hatare mkuuDuh! [emoji1787][emoji1787]Aiseee mshauri wangu bhna!!
Ada zenyewe za kulipiwa na single mom,angeniua ningeacha.Ameangaika sana kunisomesha huyu mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ungeacha chuo na kurudi jeshini, mbona hukua umechelewa bado.
Bado kufa tu mkuuUna matukio sio mchezo
Kufa haufi, ila cha moto unakiona[emoji2]Bado kufa tu mkuu