Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 338
- 683
Oya wahuni mambo ni aje !? Mie leo naandika kihuni unajua kwanini? Kwakua nimeamua kuingia mtaani kuzisaka mia Mia, jero jero na buku buku.
Oya wakuu nimejifunza kitu kimoja kwa maisha ya mtaani hasa kwa wadau wanao fanya bishara / ujasiliamari mitaani.
Kitu pekee nilicho gundua ukitaka kukusanya pesa kwa urahisi fanya biashara na akina mama, fanya biashara ambazo kwa asilimia kubwa wateja wake ni akina Mama,
Unajua kwanini? Wanawake wengi huachiwa Kodi ya meza na akina baba, katka Kodi ya meza kuna ki Mia ngapi hapo ambacho mwanamke huki-save ili anunue kitu flan.
Katika huduma/ bidhaa zako hakikisha soko lako limetarget wanawake katika ujasiliamari wako.
Ni hivyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya wakuu nimejifunza kitu kimoja kwa maisha ya mtaani hasa kwa wadau wanao fanya bishara / ujasiliamari mitaani.
Kitu pekee nilicho gundua ukitaka kukusanya pesa kwa urahisi fanya biashara na akina mama, fanya biashara ambazo kwa asilimia kubwa wateja wake ni akina Mama,
Unajua kwanini? Wanawake wengi huachiwa Kodi ya meza na akina baba, katka Kodi ya meza kuna ki Mia ngapi hapo ambacho mwanamke huki-save ili anunue kitu flan.
Katika huduma/ bidhaa zako hakikisha soko lako limetarget wanawake katika ujasiliamari wako.
Ni hivyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app