Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Huyo jamaa yaani hata Wakenya wachache wanajua ni Mtanzania, kuna siku gazeti ilikua nikinunua nafungua ukurasa wa katuni zake ndio baadaye nisome mengine. Afu mchokozi sana, anaachokonoa kote kote hebu ona hii picha hapa
GADO ni Mtanzania ndugu. Aliondoka nchini baada ya kuchora katuni ya Kikwete jamaa wakamkalia kooni.Huyo jamaa yaani hata Wakenya wachache wanajua ni Mtanzania, kuna siku gazeti ilikua nikinunua nafungua ukurasa wa katuni zake ndio baadaye nisome mengine. Afu mchokozi sana, anaachokonoa kote kote hebu ona hii picha hapa
VAR ndo imetisha..imesummarize yote yanayotokea
Kapita mule muleHapo kwenye V.A.R amepatia haswaaa
Wanasema ni Mtz anaeishi KE!Hivi Gado ni mtz au
Wikipedia inasema is a Tanzanian political cartoonistWanasema ni Mtz anaeishi KE!
Alizamia KE baada ya kumchora MsogaWikipedia inasema is a Tanzanian political cartoonist
Maiti inaongea walahi
Gado na kizazi chake wana laana ya ya milele walahi
Kibaraka wa wadhungu walahi
'GADO' Godfrey Mwampembwa ni Mchora katuni mwingine ambaye Namkubali sana na sanaa yake ya Uhakika na Kufikirisha. Kwa kazi zake zaidi cheki hapa Tovuti ya Gado Toons
View attachment 908793View attachment 908798
View attachment 908796View attachment 908799View attachment 908800
sasa mbona mikingamo tena? Kwa hiyo ni mnafiki au ni jasiri?Kipanya mnafiki sana..
Hadi kwenye breakfast hua akifika mahali pa serikali anaruka hatoi hata maoni....such a woman!
Gado yupo Kenya anawapandia Wakenya huko huko bila kuogopa,na Kenya walivyo wauaji the guy cruises!
sasa mbona mikingamo tena? Kwa hiyo ni mnafiki au ni jasiri?
Mkuu mikingamo hakuna mbona.....
Ulivyo-bold mbona vipo sawia mzee au unasomaje?
"Mnafiki sana" mbona ni synonymous na "such a woman" au wewe unatumia nini kuelewa mambo?...
Maana ni kama nimem-downgrade,thats the whole meaning...
Sidhani kama nimekingama mahala!
I guess I was too optimistic. Nikadhani ni mimi nimekosea kuwa umemdhalilisha mwanamke kwa kumuita mnafiki. Hata hivyo majibu yako kwenye uzi huu yanajidhihirisha bayana.
Isiwe tabu, nitaishia hapa maana hakuna haja ya kuendeleza mjadala na binadamu asiyejitambua.
Umenena kweli kabisa mkuu hakuna mtu anayependa kupotea hata kabuli lisiwepo Masoud anajitahidi mno kwa mazingira tuliyonayo kwa sasaWewe unaweza kumchamba Jiwe?au vile upo humu kujificha?Mazingira tuliyonayo sio yakumlaumu MTU nakumuona mdhaifu .Hali ni mbaya sana kila mmoja anafanya kwa tahadhari
We jamaa unasema tu,hukumbuki Masoud walimteka unajua walimpa maonyo gani......lkn pia kumbuka kuna watu walishatekwa mmekemea mara ngapi hao watu wamerudi au hata maiti zao mmeziona?Sio kumchamba kama tupo uswahilini mzee...
Ushaona Generali Ulimwengu anavyotoa hoja za kupinga vitu?
Hii sio match ya kutukanana,ni hoja smart bandika bandua!
Ndio tunavyotaka....sio mambo ya kutukanana....
Jiwe ni kumpa hoja smartly,akikufuata kosa litakua kwake sio kwako!
Mkuu Masudi ana platform,anatakiwa akiona uonevu mahali auseme bila kificho...
Masudi sio some token small guy like me and you,ni mtu anaejulikana na jamii nzima,huwezi muonea kifala fala tu,jamii will react back!
Kwahiyo anainjoi public protection kutoka kwetu,inatakiwa akemee uonevu kwa wazi!
Namlaumu sababu ana platform kubwa zaidi hata ya JF tuliyonayo sisi wanyonge,anaweza effect kwa ukubwa zaidi kukemea maonevu...Hiyo ndio shida!
Jiwe anatafuta ulipokosea ndio anakufata,ila kama ni clean punches hana pakukushika,labda afanye tena abductions ambapo atapokea public cry ambayo anaiogopa kama ukoma!