Mchora katuni Mtanzania, Mohammed Jumanne (Meddy) ashinda Ufaransa

Mchora katuni Mtanzania, Mohammed Jumanne (Meddy) ashinda Ufaransa

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Mchoro wa katuni ulioandaliwa na msanii ndugu Mohammed Jumanne almaarufu Meddy kutoka Tanzania imechaguliwa kuwa Nembo ya Ushirikiano mpya kati ya Afrika na Ufaransa (New Africa-France Summit) uliofanyika jana Oktoba 08, 2021 nchini Ufaransa

Meddy ni mchoraji katuni wa kujitegemea hapa nchini.

IMG-20211010-WA0013.jpg



Pichani:

Siku ya juzi tar 8 Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akisalimiana na mchora katuni Meddy kutoka Tanzania, siku hiyo hiyo mchora katuni Optatus Fwema alishtakiwa katika mahakama ya kinondoni jijini Dar es salaam kwa kumchora Rais Samia Suluhu. What a contrast!

IMG-20211010-WA0015.jpg
 
Hongera zake ,watu wakitoka nje ya Tanzania wanashinda.Najiuliza maswqli mengi sana ni kuwa sera zetu hazimwandai mtu kuwa exposed na hivyo vitu au siasa hazitaki mtu aonekane au tuko busy na matatizo yetu bila kuangalia kidogo tunachokiwezo anyway Hongera zake
 
Hongera zake ,watu wakitoka nje ya Tanzania wanashinda.Najiuliza maswqli mengi sana ni kuwa sera zetu hazimwandai mtu kuwa exposed na hivyo vitu au siasa hazitaki mtu aonekane au tuko busy na matatizo yetu bila kuangalia kidogo tunachokiwezo anyway Hongera zake
BASATA ipo kwenye kudhibiti na kufifisha vipaji.

Hii fursa huyu kijana ameipigania nje ya mfumo wa wizara. Kuna fursa zinakuja nyingi lakini maafisa wa wizara na BASATA wanawaunganisha jamaa zao hivyo huko nje sanaa yetu inaonekana changa mno.

Mfumo uliooza hauwezi kuzalisha tija
 
Hongera zake ,watu wakitoka nje ya Tanzania wanashinda.Najiuliza maswqli mengi sana ni kuwa sera zetu hazimwandai mtu kuwa exposed na hivyo vitu au siasa hazitaki mtu aonekane au tuko busy na matatizo yetu bila kuangalia kidogo tunachokiwezo anyway Hongera zake
Team ya Olympic inakuwa na maofisa wengi wa serikali kuliko wanamichezo. Huu ni mfano mmoja tu, hela za maandalizi pia zinatoka kwamanati.
 
Wale ndugu zetu hawajajua Kama anatokea kwao wajipongeze.
Ni Mtanzania
Najua kuna wapuuzi watajitokeza kusema ushindi huu ni sera yao nzuri.

Juzi hapa wamemtoa kamasi mwenzetu kwa kumlaza ndani bila kosa kwa wiki mbili
 
Hongera sana kwa kutuwakilisha vema. Natumai sasa Optatus Fwema nae ataapata jukwaa la kutambulika
 
Mbwiga, hujui hata kuchora viongozi tumeiga kutoka huko unakosema hakuna tabia hiyo?? Hujui hata kuwa mahakama za wenzetu kamera haziruhusiwi mahakamani ila mchoraji tu ndio huruhusiwa na atakachochora kitachukuliwa ndio picha rasmi??

Kama alivosema uliyemjibu - hapa nyumbani watu wenye tope kama lako ni wengi mno ndio maana hatusongi wala kuonekana tuna vipaji.
Umefanya heshima kubwa kumjibu huyo zuzu
 
Mchoro wa katuni ulioandaliwa na msanii ndugu Mohammed Jumanne almaarufu Meddy kutoka Tanzania imechaguliwa kuwa Nembo ya Ushirikiano mpya kati ya Afrika na Ufaransa (New Africa-France Summit) uliofanyika jana Oktoba 08, 2021 nchini Ufaransa


Meddy ni mchoraji katuni wa kujitegemea hapa nchini.

Pichani chini,
Siku ya juzi tar 8 Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akisalimiana na mchora katuni Meddy kutoka Tanzania, siku hiyo hiyo mchora katuni Optatus Fwema alishtakiwa katika mahakama ya kinondoni jijini Dar es salaam kwa kumchora Rais Samia Suluhu. What a contrast!

View attachment 1970033
View attachment 1970070
"Keep it Simple but Impactful"
 
Back
Top Bottom