Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Mchoro wa katuni ulioandaliwa na msanii ndugu Mohammed Jumanne almaarufu Meddy kutoka Tanzania imechaguliwa kuwa Nembo ya Ushirikiano mpya kati ya Afrika na Ufaransa (New Africa-France Summit) uliofanyika jana Oktoba 08, 2021 nchini Ufaransa
Meddy ni mchoraji katuni wa kujitegemea hapa nchini.
Pichani:
Siku ya juzi tar 8 Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akisalimiana na mchora katuni Meddy kutoka Tanzania, siku hiyo hiyo mchora katuni Optatus Fwema alishtakiwa katika mahakama ya kinondoni jijini Dar es salaam kwa kumchora Rais Samia Suluhu. What a contrast!
Meddy ni mchoraji katuni wa kujitegemea hapa nchini.
Pichani:
Siku ya juzi tar 8 Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akisalimiana na mchora katuni Meddy kutoka Tanzania, siku hiyo hiyo mchora katuni Optatus Fwema alishtakiwa katika mahakama ya kinondoni jijini Dar es salaam kwa kumchora Rais Samia Suluhu. What a contrast!