Akija huku ataonekana kibaraka katumwa na mabeberu.Hawa wachora katuni si ndio wanao funguliwa kesi serikali kila siku?
BASATA ipo kwenye kudhibiti na kufifisha vipaji.Hongera zake ,watu wakitoka nje ya Tanzania wanashinda.Najiuliza maswqli mengi sana ni kuwa sera zetu hazimwandai mtu kuwa exposed na hivyo vitu au siasa hazitaki mtu aonekane au tuko busy na matatizo yetu bila kuangalia kidogo tunachokiwezo anyway Hongera zake
Team ya Olympic inakuwa na maofisa wengi wa serikali kuliko wanamichezo. Huu ni mfano mmoja tu, hela za maandalizi pia zinatoka kwamanati.Hongera zake ,watu wakitoka nje ya Tanzania wanashinda.Najiuliza maswqli mengi sana ni kuwa sera zetu hazimwandai mtu kuwa exposed na hivyo vitu au siasa hazitaki mtu aonekane au tuko busy na matatizo yetu bila kuangalia kidogo tunachokiwezo anyway Hongera zake
Umefanya heshima kubwa kumjibu huyo zuzuMbwiga, hujui hata kuchora viongozi tumeiga kutoka huko unakosema hakuna tabia hiyo?? Hujui hata kuwa mahakama za wenzetu kamera haziruhusiwi mahakamani ila mchoraji tu ndio huruhusiwa na atakachochora kitachukuliwa ndio picha rasmi??
Kama alivosema uliyemjibu - hapa nyumbani watu wenye tope kama lako ni wengi mno ndio maana hatusongi wala kuonekana tuna vipaji.
"Keep it Simple but Impactful"Mchoro wa katuni ulioandaliwa na msanii ndugu Mohammed Jumanne almaarufu Meddy kutoka Tanzania imechaguliwa kuwa Nembo ya Ushirikiano mpya kati ya Afrika na Ufaransa (New Africa-France Summit) uliofanyika jana Oktoba 08, 2021 nchini Ufaransa
Meddy ni mchoraji katuni wa kujitegemea hapa nchini.
Pichani chini,
Siku ya juzi tar 8 Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akisalimiana na mchora katuni Meddy kutoka Tanzania, siku hiyo hiyo mchora katuni Optatus Fwema alishtakiwa katika mahakama ya kinondoni jijini Dar es salaam kwa kumchora Rais Samia Suluhu. What a contrast!
View attachment 1970033
View attachment 1970070