Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #21
sijaielewa, mchubuowa bi harusi ndio nini
Kumbe Obama na Cameroon wanaweza kuwa wamepatia!.Kyaiyembe ni ndoa hiyo kwenye ukristu kuoana siyo lazima mfinyangane siku au wiki hiyohiyo..............wakati mwingine mazingira yanawabana mjizuie...tena inakubalika zaidi kama mm'eamua kufunga hilo swala............lol
Nina wasiwasi kidogo hebu soma hapa;
But one night, he went to bed before her as usual but he was troubled so sleep evaded him.
Thinking that the husband was fast asleep, she went to the bedroom and undressed.
But before she could sneak into bed, her husband, who was fully awake, switched on the light to surprise her. To his shock, his light-complexioned wife was dark in complexion, except for her face, part of her arms and legs.
You bleached your face? Is this why you are always wearing long dresses? the shocked pastor asked.
NAdhani huyu pastor ni KONDOO wa ukweli na sio KONDOO mcha MUNGU!.
Rutashubanyuma inaeleke huijui mikorogo ilivyo na hiyana, sehemu zingine inadunda hata uchubue vipi..
Halafu kwenye Ukristu hakuna talaka.....lol
Utafanya nini kama ukiolewa na mtu Jogoo Hawiki? acha talaka ya uzinifu aliyoruhusu YESU
Kujitosa mazima?
Hiyo itabidi tuende kwa Baba Paroko kupata kwanza ushauri wa kiroho....ukishafikia hatua ya Ndoa ina maana mko serious sana kwahiyo hilo ni suala la kuhangaika nalo tu
Rutashubanyuma inaeleke huijui mikorogo ilivyo na hiyana, sehemu zingine inadunda hata uchubue vipi..
Halafu kwenye Ukristu hakuna talaka.....lol
Nina wasiwasi kidogo hebu soma hapa;
But one night, he went to bed before her as usual but he was troubled so sleep evaded him.
Thinking that the husband was fast asleep, she went to the bedroom and undressed.
But before she could sneak into bed, her husband, who was fully awake, switched on the light to surprise her. To his shock, his ‘light-complexioned' wife was dark in complexion, except for her face, part of her arms and legs.
"You bleached your face? Is this why you are always wearing long dresses?" the shocked pastor asked.
NAdhani huyu pastor ni KONDOO wa ukweli na sio KONDOO mcha MUNGU!.
[MENTION]lemonade[/MENTION] we ndege mjanja sana.....baba paroko atafanya jogoo liwike?
subiri kwanza nijifunze karate af ntakupm ili akinilete za kuleta nampa full mkong'oto upo hapo rutashubanyuma
ruta tatizo linakuja tayari uko kwenye ndoa....huwezi kukimbia cheaply kihivyo you take it head on si ni until death do you part? Hasa hapo maongozi ya kiroho yanahitajika...
Elizabeth Dominic .easier said than done in real life.................people look for easier ways out and forget spiritual diktats.........
Hakuna ndoa kama JOGOO HAWIKI!. Elizabeth Dominic na Rutashubanyuma hilo mlitambue