Mchujo wa kura za maoni CCM katika chaguzi zote ndio mara zote huamua na kuakisi sura ya Bunge lijalo

Mchujo wa kura za maoni CCM katika chaguzi zote ndio mara zote huamua na kuakisi sura ya Bunge lijalo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kura za maoni ndani ya CCM ndio hasa mwanzo wa kuwapata Rais wa nchi, wabunge na madiwani wa maeneo mbalimbali nchini.

Ndio uchaguzi ambao unakuaga na mchuano mkali zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe ambao mara zote hua ni katika kukamilisha tu ratiba, sheria na matakwa ya kikatiba, lakini uchaguzi wenyewe unakua tayari umefanyika ndani ya CCM.

CCM imeshakamilisha maandalizi ya uchaguzi mkuu kwa zaidi ya 60 miezi 7 kabla ya uchaguzi wenyewe. Surely, kuna chama kinaweza kuambulia chochote mbele ya CCM imara na makini kama hii ya Dr Samia Suluhu Hassan, na hawajajiandaa kwa chochote kuelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025?

Tafadhali, kama Taifa,
Inafaa kwa pamoja tujiandae kushuhudia mchakato bora kabisa wa kura za maoni ndani ya CCM, ambao ndio hasa utakao amua mustakabali mwema wa Taifa letu.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Tangazo la Ajira


Mganga wa Ramli chonganishi Aliyesababisha akiwa mchina tutapigwa sana kunfu sijui itakuaje kama ni mzungu au mhindiView attachment 3251198
kuraza maoni za mchujo ndani ya ccm zina maana kubwa sana ya mustakabali wa taifa letu. Tujiandae kushuhudia mchakato huo muhimu sana wa kuamau wawakilishi hao wa wananchi kwa taifa letu :whatBlink:
 
kuishi katika dhana potofu,
hakukuzuii kushuhudia mchakato boara na muhimu sana wa kuamua mustakabali na uelekeo wa taifa letu kupitia ccm.
kaa tayari tafadhal, itakusaidia sana gentleman:whatBlink:
 
Back
Top Bottom