Mchujo wa ndani ya CCM uchaguzi huwa mkali pesa na Rushwa huwa si kigezo ndio maana Lowassa na pesa zake alishindwa kupita

Mchujo wa ndani ya CCM uchaguzi huwa mkali pesa na Rushwa huwa si kigezo ndio maana Lowassa na pesa zake alishindwa kupita

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita

Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya mtaa utafikiri uchaguzi mkuu wakati ni wagombea tu wanatafutwa ndani ya chama kupeperusha bendera ya CCM tu?

Uchaguzi wa ndani ni mkali mno kuliko uchaguzi wenyewe.CCM huwa tuko very serious akipita mtu ujue kapita kihalali.

Soma Pia:
Sio kama vyama vingine mtu anaamua tu fulani mgombea
 
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita

Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya mtaa utafikiri uchaguzi mkuu wakati ni wagombea tu wanatafutwa ndani ya chama kupeperusha bendera ya CCM tu?

Uchaguzi wa ndani ni mkali mno kuliko uchaguzi wenyewe.CCM huwa tuko very serious akipita mtu ujue kapita kihalali.

Soma Pia:
Sio kama vyama vingine mtu anaamua tu fulani mgombea
Mbona uchaguzi unarudiwa sehemu kadhaa kutokana na rushwa na wizi wa kura.
 
Mbona uchaguzi unarudiwa sehemu kadhaa kutokana na rushwa na wizi wa kura.
Unarudiwa sababu ya kuhakikisha watoa Rushwa na wezi wa kura hawapiti mchujo wa ndani ya CCM kabla CCM kuteua viongozi wagombea serikali za mtaa na vijiji wanaokubalika kwenye mtaa au kijiji ni jambo jema tena mno kuwa ngazi za chini kabisa zaweza chuja wagombea eneo walipo hapo hapo

Tofauti na Chadema ambao huko kanda ndio wachujaji sio kwenye mtaa au kijiji

Waliongea hadi na tume na msajili kupinga kuwa wagombea wa serikali ya mtaa au kijiji lazima waidhinishwe na viongozi wa kanda sio kwenye mtaa au kijiji huko tofauti na CCM tunaamini uongozi wa mtaa au kijiji na wanachama wa CCM waliopo huko wanawajua vizuri wagombea wao tofauti na Chadema
 
Unahonga wenye mamlaka ya kukuteua kugombea.

Wagombea uongozi wa CCM huteuliwa na wajumbe wa vikao. Wana CCM, nje ya vikao, hupiga kura ya maoni. Ni kura geresha ya kuwa fool jumuiya ya Kimataifa.

Mgombea Urais wa CCM, is a unique exception. Yeye huteuliwa na Mwenyekiti wa CCM. Kura za wajumbe ni kura za maoni tu. Again, maoni ya watu hayajawahi kuamua kitu huku dunia ya tatu.

Edward Lowassa hakuwa na hela ya kutosha kumhonga Mwenyekiti wa chama na Mkuu wa nchi.

Rejea hotuba ya Kikwete Chato, mazishi ya Magufuli. That is a seminal speech that every presidential historian should have a recital grasp of. He elucidated how he, the outgoing Kingpin of the party, handpicked his successor.

Imekuwa hivyo kwa Rais wa Tanzania kuteua mrithi toka 1985, Kizota, Dodoma.

Usingeweza kumhonga Colonel Jakaya Kikwete as he walks out of the state house after a 10 year reign of a banana republic. Una hela ngapi we Waziri Mkuu wa miaka miwili ? Umefanya magendo gani ambayo Ikulu haiyajui na haijayaruhusu ?
 
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita

Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya mtaa utafikiri uchaguzi mkuu wakati ni wagombea tu wanatafutwa ndani ya chama kupeperusha bendera ya CCM tu?

Uchaguzi wa ndani ni mkali mno kuliko uchaguzi wenyewe.CCM huwa tuko very serious akipita mtu ujue kapita kihalali.

Soma Pia:
Sio kama vyama vingine mtu anaamua tu fulani mgombea
Inategemea tu wanataka pesa za nani kwa wakati huo.
 
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita

Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya mtaa utafikiri uchaguzi mkuu wakati ni wagombea tu wanatafutwa ndani ya chama kupeperusha bendera ya CCM tu?

Uchaguzi wa ndani ni mkali mno kuliko uchaguzi wenyewe.CCM huwa tuko very serious akipita mtu ujue kapita kihalali.

Soma Pia:
Sio kama vyama vingine mtu anaamua tu fulani mgombea

Kwani wengine walikuwa hawana pesa?

Yaani hii rushwa yote ya Tanzania imeletwa na nani zaidi ya CCM? Yaani kanunue shamba leo ukutane na watendaji huko chini wa CCM ni rushwa tu.
 
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita

Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya mtaa utafikiri uchaguzi mkuu wakati ni wagombea tu wanatafutwa ndani ya chama kupeperusha bendera ya CCM tu?

Uchaguzi wa ndani ni mkali mno kuliko uchaguzi wenyewe.CCM huwa tuko very serious akipita mtu ujue kapita kihalali.

Soma Pia:
Sio kama vyama vingine mtu anaamua tu fulani mgombea
Cc: Lucas mashambwa
 
Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita

Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya mtaa utafikiri uchaguzi mkuu wakati ni wagombea tu wanatafutwa ndani ya chama kupeperusha bendera ya CCM tu?

Uchaguzi wa ndani ni mkali mno kuliko uchaguzi wenyewe.CCM huwa tuko very serious akipita mtu ujue kapita kihalali.

Soma Pia:
Sio kama vyama vingine mtu anaamua tu fulani mgombea
Kachukue form then usiwe na pesa ndo utajua hujui.
 
Unahonga wenye mamlaka ya kukuteua kugombea.

Wagombea uongozi wa CCM huteuliwa na wajumbe wa vikao. Wana CCM, nje ya vikao, hupiga kura ya maoni. Ni kura geresha ya kuwa fool jumuiya ya Kimataifa.

Mgombea Urais wa CCM, is a unique exception. Yeye huteuliwa na Mwenyekiti wa CCM. Kura za wajumbe ni kura za maoni tu. Again, maoni ya watu hayajawahi kuamua kitu huku dunia ya tatu.

Edward Lowassa hakuwa na hela ya kutosha kumhonga Mwenyekiti wa chama na Mkuu wa nchi.

Rejea hotuba ya Kikwete Chato, mazishi ya Magufuli. That is a seminal speech that every presidential historian should have a recital grasp of. He elucidated how he, the outgoing Kingpin of the party, handpicked his successor.

Imekuwa hivyo kwa Rais wa Tanzania kuteua mrithi toka 1985, Kizota, Dodoma.

Usingeweza kumhonga Colonel Jakaya Kikwete as he walks out of the state house after a 10 year reign of a banana republic. Una hela ngapi we Waziri Mkuu wa miaka miwili ? Umefanya magendo gani ambayo Ikulu haiyajui na haijayaruhusu ?
Magufuli mbona hakuhonga hata mia ili apitishwe kugombea uraisi
 
Magufuli mbona hakuhonga hata mia ili apitishwe kugombea uraisi

Mgombea tiketi ya CCM huwezi kumhonga Rais anaendoka madarakani.

Nusu ya hela ya BENKI KUU iko kwenye akaunti za vijana wake. Umhonge Kikwete una hela ngapi wewe raia ?
 
Back
Top Bottom