Mkuu anatafuta mchumba sio mtumba.Nipm nikupe namba ya huyu ninaeshi nae me nishamchoka.
Teh teh teh. Ni used miezi 3 tu. Kwa hiyo ni kama mpya.Mkuu anatafuta mchumba sio mtumba.
Jf rahaa sanaaaNipm nikupe namba ya huyu ninaeshi nae me nishamchoka.
Mkuu anatafuta mchumba sio mtumba.
[emoji23] [emoji134] kweli undugu kufaanaNipm nikupe namba ya huyu ninaeshi nae me nishamchoka.
Cjui Nani anawaambiafa kuwa wanaokotwa uku km mipira ya kona[emoji23]Naona wageni mnasaka kweli wachumba
Mambo vpCjui Nani anawaambiafa kuwa wanaokotwa uku km mipira ya kona[emoji23]
Mungu anakuonaNipm nikupe namba ya huyu ninaeshi nae me nishamchoka.
Achana na huyo mimi mshahara wangu mil 1.5nipo hapa.,, mshahara wako ni shi ngapi kwa mwezi????
wewe ukishatumia unagawa Mimi nataka mshahara wake nijue. ili tuoane.Achana na huyo mimi mshahara wangu mil 1.5
Naweza kubadili mpango nikaamua kuoa.wewe ukishatumia unagawa Mimi nataka mshahara wake nijue. ili tuoane.
we mshahara wako mdogoNaweza kubadili mpango nikaamua kuoa.
Nimecheka hadi mbavu sina!Nipm nikupe namba ya huyu ninaeshi nae me nishamchoka.