Mchumba anahitajika

Mchumba anahitajika

Kuna @MBITINZANI alikuwa anatafuta mume tena Kwa msharti marahisi tu ebu mtafute
 
Darasa siku hizi lina olewa, zamani tulikuwa tuna angalia Tabia siku hizi Elimu[emoji28][emoji28]Mungu atunusuru tuendako
 
hahahahah! Utaishia kuioa vicheche! mwanamke anayejielewa hawezi kujitongozesha kirahisi kihivyo! Hii ni dalili za domo zege
 
Back
Top Bottom