Mchumba anahitajika

Kuna @MBITINZANI alikuwa anatafuta mume tena Kwa msharti marahisi tu ebu mtafute
 
Darasa siku hizi lina olewa, zamani tulikuwa tuna angalia Tabia siku hizi Elimu[emoji28][emoji28]Mungu atunusuru tuendako
 
hahahahah! Utaishia kuioa vicheche! mwanamke anayejielewa hawezi kujitongozesha kirahisi kihivyo! Hii ni dalili za domo zege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…