Mchumba anahitajika

niliona vandiko lako tena vigezo vepesi nikamwambia jamaa ila naona hutaki mweka wazi jamaa kuwa hata bikra bado ipo unaleta ukongwe wakati mtt mbichi ww
hhhahhha mkuu mm sijawah weka bandiko bwana!mm nitaweka karibu na xmas
 
Naahidi kuwa bestman.. siku akikuletea mtimanyongo unakuja kumshtaki kwangu tunayamaliza afu ndo tunayasuluhisha...
haaaaaaaaaaa ndo maana mm sijawah mshitakia mume kwa bestman!best man mwenyewe ni fayaaaa!kuna kkazi apo sasa?
 
haaaaaaaaaaa ndo maana mm sijawah mshitakia mume kwa bestman!best man mwenyewe ni fayaaaa!kuna kkazi apo sasa?
Ah kumbe ushaolewa? Ngoja nikae mbali nisije penyezewa gunzi kwenye kijambio.
 
uje na wanao maana nasikia ww ni single mother na kuna uzi ulisema tukitoka na single mother tukumbuke na watt wao
wwooozaaaa!atleast jaman wanangu wanavopenda kuogelea sasa!nawabeba mkuu wapo wa4
 
hahahaaaaaaaa wote hao si mtakula mshahara wa miezi 2 na bado niache simu bond
ahhahaaahhhh rejea kwenye signature yako!bwana atapigana na ww ktk hali zote!tumtumainie yy!utuhost toka asbh had supper tym!kwa kukupa heshima yang naomba nikufollow!mshahara wa 2mths SI KITU!NAFSI!lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…