mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
niliona vandiko lako tena vigezo vepesi nikamwambia jamaa ila naona hutaki mweka wazi jamaa kuwa hata bikra bado ipo unaleta ukongwe wakati mtt mbichi wwntapata tu anayehitaj matured rlshp!...harusi yangu lazima uwepo!
Naahidi kuwa bestman.. siku akikuletea mtimanyongo unakuja kumshtaki kwangu tunayamaliza afu ndo tunayasuluhisha...ntapata tu anayehitaj matured rlshp!...harusi yangu lazima uwepo!
hhhahhha mkuu mm sijawah weka bandiko bwana!mm nitaweka karibu na xmasniliona vandiko lako tena vigezo vepesi nikamwambia jamaa ila naona hutaki mweka wazi jamaa kuwa hata bikra bado ipo unaleta ukongwe wakati mtt mbichi ww
haaaaaaaaaaa ndo maana mm sijawah mshitakia mume kwa bestman!best man mwenyewe ni fayaaaa!kuna kkazi apo sasa?Naahidi kuwa bestman.. siku akikuletea mtimanyongo unakuja kumshtaki kwangu tunayamaliza afu ndo tunayasuluhisha...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona huchezi mbali na fursa
Ah kumbe ushaolewa? Ngoja nikae mbali nisije penyezewa gunzi kwenye kijambio.haaaaaaaaaaa ndo maana mm sijawah mshitakia mume kwa bestman!best man mwenyewe ni fayaaaa!kuna kkazi apo sasa?
Hamna babu hatuonani ktk pitapitaMahaba niue mjukuu...
Umenipotezea sana bhana
nimeachika bwana wewe !mbn hvo lakin asporo? unanichafulia nyota yang jaman!arghhhAh kumbe ushaolewa? Ngoja nikae mbali nisije penyezewa gunzi kwenye kijambio.
Hapo sawa. Lazima utakuwa na kauzoefu flani hivi amazing... tuendelee na mpango wetunimeachika bwana wewe !mbn hvo lakin asporo? unanichafulia nyota yang jaman!arghhh
Unanigongea like tu afu unasepa. Au hujui nina mahaba na mwandiko wako?Hamna babu hatuonani ktk pitapita
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]Unanigongea like tu afu unasepa. Au hujui nina mahaba na mwandiko wako?
au ulichangia maana nilikuona sehemu kwenye vigezo vepesi ila uje tu tule wote hio xmasshhhahhha mkuu mm sijawah weka bandiko bwana!mm nitaweka karibu na xmas
Yah!nilichangia!ntakujaau ulichangia maana nilikuona sehemu kwenye vigezo vepesi ila uje tu tule wote hio xmass
uje na wanao maana nasikia ww ni single mother na kuna uzi ulisema tukitoka na single mother tukumbuke na watt waoYah!nilichangia!ntakuja
wwooozaaaa!atleast jaman wanangu wanavopenda kuogelea sasa!nawabeba mkuu wapo wa4uje na wanao maana nasikia ww ni single mother na kuna uzi ulisema tukitoka na single mother tukumbuke na watt wao
hahahaaaaaaaa wote hao si mtakula mshahara wa miezi 2 na bado niache simu bondwwooozaaaa!atleast jaman wanangu wanavopenda kuogelea sasa!nawabeba mkuu wapo wa4
ahhahaaahhhh rejea kwenye signature yako!bwana atapigana na ww ktk hali zote!tumtumainie yy!utuhost toka asbh had supper tym!kwa kukupa heshima yang naomba nikufollow!mshahara wa 2mths SI KITU!NAFSI!lolhahahaaaaaaaa wote hao si mtakula mshahara wa miezi 2 na bado niache simu bond