Baba bhooke! Tangu tumeingia humu ndani unaniraaambaraamba tuuu, nit....mbe turaare!Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.
Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,
NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.
1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
Oyaau mkuu demu YUPO dar wewe upo humu ushirombo utamfuata au atakufuata!? [emoji16][emoji16][emoji16]Ebu funga PM...[emoji39] umesha nipata mchumba, vigezo vyote ninavyo na pombe nineacha jana baada ya kuona huu uzi...[emoji847]
hahahahaunaitaget hii pasaka?
kibaridi hiki siyo mchezo,KATAA NDOA mnivumilie kwa muda kidog
Ahahahahaha tukae kimya mpaka utakapomla kimasihara alafu ukamwacha ndio tunarud na slogan ile ile sio? Okay...Nipo hapa nakuja huko PM kuona namna.
Wanangu wa KATAA NDOA mnivumilie kwa muda kidogo ππ
Wewe hujiamini!Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.
Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,
NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.
1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
Mjoli wa Bwana Kuwa, makini si salama sana humu ndaniHabari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.
Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,
NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.
1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni