Mchumba anahitajika

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,658
Reaction score
8,994
Wakuu habari zenu mi ni kijana wa kiume nipo kwenye miaka ya 29+ nahitaji kuwa na mwezi wa maisha baada ya muda mwingi kuutumia ktk shule na kuweka maisha sawa aliye tayari karibu pm
 
mkuu tuongee humu humu tukubaliane huko pm naona mbali, tell me baby:
mi ni 27+, public servant, watoto wa zari toa 1, thin but beautiful african, obedient, muslim( ready to copy christian), hard worker, mbahili, sijawahi kuhongwa/ kuhonga, love to be cared mtzmweusi
 
Last edited by a moderator:

Amelala mbele,
 
Last edited by a moderator:

Hii match ya kucheza hapahapa hawezi, labda kule PM!
 
Last edited by a moderator:
Fanya mchezo katika maisha yako katika mambo yote lakini sio kuoa
Kutafuta mtu utakaye ishi naye milele!
Nakushauri utoke jf kamtafute huko uliko!
 
Vp huko mafichoni hasomeki? Au wewe unataka kutuonesha kuwa una cv nzuri ya wife material?
 
Last edited by a moderator:

Njoo pm tafadhali mwaj waukweli
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…