Mchumba anatafutwa umri 18-25

Emmanuelyz

Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
13
Reaction score
3
Naitwa Selemani niko Dar umri miaka 26 natafuta mchumba awe mfupi kidogo, mnene kidogo, mweupe au maji ya kunde na awe mwelewa na mkweli.

Tuwasiliane kwa namba hii 0717188605.
 
Kwa vigezo vyako ulivyotaja hapo, I hope utapata maana wapo wengi wa aina hiyo... Sio wale wengine wanakuja mara awe na digrii! Digrii Bongo 🙄🙄 Kwanza wasichana wazuri hawasomagi sana acording to marehemu mwalimu wangu...
 
Wewe jamaa ni AGENT wa kutafutia wanaume wenzako wachumba au?? mbona thread zako zina namba tofauti tofauti...Niaje..umetumwa nini
 
Ifikie sehemu moderator waaanze kuwagonga ban wanaotafuta wachumba kwa new ID
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…