Hahaha haya bhana umetueza..mana nilikimbia haraka sana baada ya kusoma kichwa cha habarNimetumia akili ya darasa la saba bila hivyo usingeingia na hata motoni utaingia kwakuona njia imepambwa ila ukifka ndani motooo kutoka ng'oo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wabongo Ukitaka upate attention zao weka heading km hizo, Halaf ndan andika shairi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we nae nani kakuleta humu?
Sasa memkwa ata kiswahili tusielewe jaman
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hao wasomi wenyewe pia hawajielewi, kwa mfano Livingston Lusinde, pro. Maji Marefu, na Joseph Msukuma waweke hapa bandiko la kutafuta mke,hao hao wasomi watakimbilia, wakati wanajua sifa za hao jamaa ni kusoma na kuandika tu . Ndugu tafuta chapaa hakuna cha msomi Wala nani wote utakula utakavyo.
[emoji3][emoji3]ngoja nirudi kwenye jukwaa la siasa nasikia wameongeza budget ya elimu ya watu wazima.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we nae nani kakuleta humu?
Sasa memkwa ata kiswahili tusielewe jaman