Mchumba anatafutwa

hiyo rangi nyekundu inawatisha. unatumia rangi nyekundu kwani hizi habari za kifo?. mia
 
just color my frd don;t complecate!, take it easy
 
Mikwara yako hata wengine watogopa kukucheki..All the best kaka!!!
 
..................................................................................
 
ni pm usikate tamaa, inawezekana bahati ni yako, so don't give up my fellow!!!!!!

mbona sijakuelewa??bahati ya atakayekupm au bahati yako wewe mtafutaji??
Dah vigezo vyote ninavyoo tatizo kimoja tu unaweza kuniconsider???
 

Ndio maana ndoa za siku hizi hazidumu. Waoanaji wameweka mbele masharti na vigezo bila kuangalia upendo halisi na mapenzi ya kweli. Mkiwa katika mapenzi ya kweli hakuna haja ya kuangalia mashart na vigezo ambavyo havina maana kwa mfano, weupe au weusi, unene au wembamba n.k. hivi hujui kama wembamba hunenepa na wanene hupungua?
 

HAPPINESS WIN...we ni mutu ya nguvu saaaaana...
 
kama kawa nitarejea badae.....ni...... pm..... usikate tamaa.


Si mchezo!
 
....................................................................................................
 
.....................................................................
 
.....................................................................
 
2siokuwa na hzo cfa uwiii.

Jamaani Mwanamme ndio huyo ameshajinadi kwasifa alizonazo na za Mwanamke\Mke anaemtaka, Alwayz Wanaume ndio waoaji na tuna asilimia 80% ya kuoa Mwanamke tunaemtaka kwa sifa na vigezo, Wenye sifa bahati ndio hiyo changamkieni tenda.
Ukisema Mwanamke usubili uwoe ww ama upate unaemtaka imekula kwako
Kwani watakuja wengi bt kwa matamanio yao nakufuata ulichonacho.
Wanawake wana asimia 25% ya kupata Mwanamme wanaemtaka jst kwa vigezo na mashart wanayotaka.
Ndio maana nasema alwayz Mwanamke upendwe sio upende utamiaaaaa...
 

haya nami nitajinadi baadae nitafute wa vigezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…