Mchumba anatakiwa

Moony

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
1,599
Reaction score
436
Anatafutwa mchumba mwanamume mtu mzima, kwa maana ya maturity. mtafutaji ni dada yangu ni mjane mkristo ana umri wa miaka 55 na watoto wawili. Ni mkulima mjasiriamali. Ni mcheshi na mcha Mungu, mkweli na mwaminifu. Wenye nia ya ukweli pm via Moony.
 
55 hehee labda wapelekee hili tangazo wanajeshi wastaafu utabahatisha! Lakini kwa uelewa wangu ni kuwa 98% ya wahitajio wenza ni kati ya 18-40
 
Miaka 55 mwenza wa nini tena?
 
Rejao, mwenza wa kuzeeshana nae. Na mie babangu is 65, sijui nimtaftie mchumba kwa penalty?
Ati ndugu, huyo dadako ukulima na ujasiriapesa anafanyia bara ulaya ama america? Au anasaka ticket ya abroad? Manake babangu yuko kijijini umasaini.
 
Last edited by a moderator:
Anatafutwa mchumba mwanamume aishiye bara la Ulaya ama Americas. mtafutaji ni dada yangu ni mjane mkristo ana umri wa miaka 55 na watoto wawili. Ni mkulima mjasiriamali. Ni mcheshi na mcha Mungu, mkweli na mwaminifu. Wenye nia ya ukweli pm via Moony.

Mhhhh! Haya bana..naona wachumba mpaka wanawekewa na mipaka siku hizi. Shurti awe anatoka sehemu fulani duniani.
 
Mkuu wanajeshi wastaafu ndo zoazoa nini tufahamishana kisa cha kuwaweka hapo.
55 hehee labda wapelekee hili tangazo wanajeshi wastaafu utabahatisha! Lakini kwa uelewa wangu ni kuwa 98% ya wahitajio wenza ni kati ya 18-40
 
At 55 halafu masharti ya ulaya, amechelewa na ugold digger
 
Kwa nini usiseme ukweli ni wewe badala ya kumsingizia dada yako? unapata dhambi.
 
Mbona ukimwona hata wewe mwenyewe utablow!
hivi wajane mke au mume hawastahili kuwa na wenza tena?

Wasikuchuuze wajeda wa amerika wanabandua briefcase i.e TIGO EXTRIME atajuta kama kitu bado pinaaa!
 
Mimi nina miaka mitatu pungufu kwa umri wa "mchumba" sijui atanikubali?
 
anasaka ticket ya ndege waungwana..........eleweni
 
55 hehee labda wapelekee hili tangazo wanajeshi wastaafu utabahatisha! Lakini kwa uelewa wangu ni kuwa 98% ya wahitajio wenza ni kati ya 18-40

"kwa uelewa wako''

Hivyo ni bora utoe opinion yako, usipende kulimit uelewa. You are still young, my advice is that always keep an "OPEN MIND"
Thanks anyway.:moony:
 
Kwa nini usijaribu bahati yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…