Mchumba hasomeshwi, muhanga SutiBega

Mchumba hasomeshwi, muhanga SutiBega

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240308_191404.jpg
---
Kupitia akaunti yake ya Instagram Sutibega_ anaandika:

"Wakati kakaangu Haji Manara anatafuta mke sahihi nilikuwa sielewi kwani niliambiwa wanaake wengi hawajui kushukuru hawajui thamani ya mtu anejitoa na kupambana hakuna siku nimeumia kama leo nakutambua kumbe nilikuwa daraja la mafanikio sikuwahi kujua maana halisi ya waliosema mwanamke hasomeshwi.

"Wala usikubali kuweka nguvu yako kwake nikawa kipofu nakuona wenzangu wana wivu na ndoa yangu kweli nimeamini. Siku moja Mungu atajua nilipo kutoa na ulipofika na atanilipia angalau kwa dua njema muombee mkeo afanikiwe ujue kiburi chake, ila wakati yuko chuo unapambana nae mpaka muda mwengine unalipa ada adabu yake utasema nimechelewa nini kufunga ndoa, nakuombea ikawe biashara kubwa kwako amina.

"Najua kuna kipindi utakumbuka ulipotoka na ulipo kwa sasa na nani alisababisha wewe kufika hapo, wanaokujua wanajua nilipokutoa na wanaonijua wanajua nilivyoweka muda wangu na akili kwako ili ufanikiwe. Kibri na kutokusIkiliza, imekuwa shida kwa muda mrefu walotuzunguuka wanajua kibri nje ya mtandao."
 
Nahisi Instagram hawaruhusu kuweka aya na Nukta,

Anyway, Hili liwafikie wote wanaojitoa kwa wanawake nje ya uwezo wao ili wapendwe.

Endelea kumzoesha Demu wako Kwa kumpa kila anachotaka, Halafu siku na wewe uje useme ungejua, ikiwa leo hii una nafasi ya kujua..
Subiri ujifunze kwa ghrama kubwa.

Mohamed Yahya : Hatric ndani ya dk 8.
 
Yeye
View attachment 2928489
---
Kupitia akaunti yake ya Instagram Sutibega_ anaandika:

Wakati kakaangu @hajismanara anatafuta mke sahihi nilikuwa sielewi kwani niliambiwa wanaake wengi hawajui kushukuru hawajui thamani ya mtu anejitoa na kupambana hakuna siku nimeumia kama leo nakutambua kumbe nilikuwa daraja la mafanikio sikuwahi kujua maana halisi ya waliosema mwanamke hasomeshwi.

Wala usikubali kuweka nguvu yako kwake nikawa kipofu nakuona wenzangu wana wivu na ndoa yangu kweli nimeamini SIKU MOJA MUNGU ATAJUA NILIPO KUTOA NA ULIPO FIKA NA ATANILIPIA ANGALAU KWA DUA NJEMA MUOMBEE MKEO AFANIKIWE UJUE KIBURI CHAKE ILA WAKATI YUKO CHUO UNAPAMBANA NAE MPAKA MUDA MWENGINE UNALIPA ADA ADABU YAKE UTASEMA NIMECHELEWA NINI KUFUNGA NDOA NAKUOMBEA IKAWE BIASHARA KUBWA KWAKO AMINA.

NAJUA KUNA KIPINDI UTAKUMBUKA ULIPO TOKA NA ULIPO KWA SASA NA NANI ALISABABISHA WW KUFIKA HAPO WANAO KUJUA WANAJUA NILIPOKUTOA NA WANAO NIJUA WANAJUA NILIVYO WEKA MUDA WANGU NA AKILI KWAKO ILI UFANIKIWE KIBRI NA KUTO KUSKILIZA IMEKUWA SHIDA KWA MUDA MREFU WALO TUZUNGUUKA WANAJUA KIBRI NJE YA MTAND
Hayo maneno ya kuwa atakumbuka wena uliomtendea hayakusaidii wala kufidia muds na mali uliyopoteza kumsaidia. Yeye kisha fanikiwa anasonga mbele.

Tangu mimi ninakua miaka ya sabini katikati nimeona wanaume wajinga wengi wakilia baada ya kumsomesha mchumba/ mke au kumfungulia biashara..
Unakuta mwanaume mama yake aliyemzaa hata nguo ya kuvaa hana huku yeye anakazana kusomesha mtoto wa mwenzie eti mchumba..

Kama umefika wakati wa kuoa tafuta mwanamke aliye tayari na nwenye sifa ya kuwa mke oa. Matatizo yanaanza unapoiingiza siasa kwenye suala la kuoa.
 
Nahisi Instagram hawaruhusu kuweka aya na Nukta,

Anyway, Hili liwafikie wote wanaojitoa kwa wanawake nje ya uwezo wao ili wapendwe.

Endelea kumzoesha Demu wako Kwa kumpa kila anachotaka, Halafu siku na wewe uje useme ungejua, ikiwa leo hii una nafasi ya kujua..
Subiri ujifunze kwa ghrama kubwa.

Mohamed Yahya : Hatric ndani ya dk 8.
Kenge mpaka atoke damu masikioni ndio anajua aneumia.
 
Hili janga lipo sana kwenye jamii siku hizi. Lakini niwashauri wenzangu zile garama ulizotumia inabidi upotezee ili uanze upyaa...ni kweli ni nyingi kulingana na uwezo wa kila mtu lakni ni vzuri zaidi kupotezea ili uweze kuendelea na maisha mengine. Nadhani hii imesaidia kwa wengi mana hutapata wasaa wa kuwa na mawazo sijui sonona. Maisha bado mbele yanatusubiri why kujiumiza wakati unaeza jikaza yakaishaa??
Kile chama kina wateja wapya kila siku alooo...kataaa...
 
Back
Top Bottom