Mchumba huyo

Mchumba huyo

sabra

Member
Joined
Jun 2, 2010
Posts
25
Reaction score
0
Mrembo.jpgJamani mchumba wa kizungu
 
Anazo za kumwaga, na kisses swaaafi. Ni Demu, Tumeni maombi ya uchumba maana bado ni singo!:A S tongue:
 
Anazo za kumwaga, na kisses swaaafi. Ni Demu, Tumeni maombi ya uchumba maana bado ni singo!:A S tongue:

Haya tunashukuru sana tukutumie wewe hayo maombi?
 
Bahati ya mwaka Fidel80, ukimpata atakuwa wako tuu, Hakuna mwizi hata mmoja atakae kudokolea!!. Mimi ninaye mdogo mtu!
 
ipo kazi hapo inabidi uvae mawani ya mbao kwanza au uwe chicha bovu
 
Nakupenda tu honey honey nakupenda tu! sura kama unatumbuliwa jipu! nakupenda tu! mijino kama mwenyekiti wa klabu ya soka ! nakupenda tu honey honey!
 
Mashine si ipo mwake, unamfunika tu nashuka, au unamchongeshea kinyago kinachofanana na alicia keys unamvalisha ili uvute hisia
 
Ukionja mara moja tu utaiona hiyo sura kama malaika, usiombe; Mungu hakunyimi kotekote!!!!
 
Nakupenda tu honey honey nakupenda tu! sura kama unatumbuliwa jipu! nakupenda tu! mijino kama mwenyekiti wa klabu ya soka ! nakupenda tu honey honey!
..hahahahaha wewe una utani na MADEGA?
acha hizo bana, unajua weye ni mwanasheria yule?
 
Back
Top Bottom