Anazo za kumwaga, na kisses swaaafi. Ni Demu, Tumeni maombi ya uchumba maana bado ni singo!:A S tongue:
Haya tunashukuru sana tukutumie wewe hayo maombi?
..hahahahaha wewe una utani na MADEGA?Nakupenda tu honey honey nakupenda tu! sura kama unatumbuliwa jipu! nakupenda tu! mijino kama mwenyekiti wa klabu ya soka ! nakupenda tu honey honey!