Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Baada ya kuniletea zawadi ya vifaa vya michezo,jezi, training shoes nk.
Kwenye maongezi akafunguka kuwa performance yangu imeshuka, eti nachoka mapema
Equate=JF yetu siku hizi yaaani daaah.
Piga push up 50 asubuh 50 jioniBaada ya kuniletea zawadi ya vifaa vya michezo,jezi, training shoes nk.
Kwenye maongezi akafunguka kuwa performance yangu imeshuka, eti nachoka mapema nianze mazoezi.
Na kila siku atakuwa ananiamsha Morning mapema,nikakimbie.
Anajiona kama kocha wa stars vile eti performance yangu imeshuka
Hili swala linanikosesha Raha kabisa kumbe kujitahidi kote kule no bure eti Niko na low performance.
Nimekosa kabisa confidence wakuu..nahisi kawasimulia kila kitu rafiki zake wamemshauri uko uwongo na ukweri
Kanunua vizawadi vyake ili anisimange hivi..[emoji21][emoji848]
Bora amekuchana ukweli mkuuBaada ya kuniletea zawadi ya vifaa vya michezo,jezi, training shoes nk.
Kwenye maongezi akafunguka kuwa performance yangu imeshuka, eti nachoka mapema nianze mazoezi.
Na kila siku atakuwa ananiamsha Morning mapema,nikakimbie.
Anajiona kama kocha wa stars vile eti performance yangu imeshuka
Hili swala linanikosesha Raha kabisa kumbe kujitahidi kote kule no bure eti Niko na low performance.
Nimekosa kabisa confidence wakuu..nahisi kawasimulia kila kitu rafiki zake wamemshauri uko uwongo na ukweri
Kanunua vizawadi vyake ili anisimange hivi..π£π€
Bila kick watu wanakhofia watabaki irrelevant humu jf,aahahajj
Huyo mwanamke ni smart sana na anakupenda. Angeweza kutafuta mtu wa kumridhisha ila kaona yanini bora amtengeneze mtu wake awe anavyotaka. Smart sana. Wadada igeni mfano wa mwenzenu.Baada ya kuniletea zawadi ya vifaa vya michezo,jezi, training shoes nk.
Kwenye maongezi akafunguka kuwa performance yangu imeshuka, eti nachoka mapema nianze mazoezi.
Na kila siku atakuwa ananiamsha Morning mapema,nikakimbie.
Anajiona kama kocha wa stars vile eti performance yangu imeshuka
Hili swala linanikosesha Raha kabisa kumbe kujitahidi kote kule no bure eti Niko na low performance.
Nimekosa kabisa confidence wakuu..nahisi kawasimulia kila kitu rafiki zake wamemshauri uko uwongo na ukweri
Kanunua vizawadi vyake ili anisimange hivi..[emoji21][emoji848]
Mkuu nami nmekubari nikakimbieHuyo mwanamke ni smart sana na anakupenda. Angeweza kutafuta mtu wa kumridhisha ila kaona yanini bora amtengeneze mtu wake awe anavyotaka. Smart sana. Wadada igeni mfano wa mwenzenu.
Kuhusu kukutangaza ni mtazamo wako tu. Hizo ndio siri za familia sasa.
Hebu nenda ukapige jaramba
Anza kufanya mazoezi utapigiwaBaada ya kuniletea zawadi ya vifaa vya michezo,jezi, training shoes nk.
Kwenye maongezi akafunguka kuwa performance yangu imeshuka, eti nachoka mapema nianze mazoezi.
Na kila siku atakuwa ananiamsha Morning mapema,nikakimbie.
Anajiona kama kocha wa stars vile eti performance yangu imeshuka
Hili swala linanikosesha Raha kabisa kumbe kujitahidi kote kule no bure eti Niko na low performance.
Nimekosa kabisa confidence wakuu..nahisi kawasimulia kila kitu rafiki zake wamemshauri uko uwongo na ukweri
Kanunua vizawadi vyake ili anisimange hivi..π£π€