Mchumba kapoteza pete ya uchumba

Mchumba kapoteza pete ya uchumba

Bacore

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
222
Reaction score
228
Ushauri, mchumba wangu anadai kapoteza Pete ya uchumba, hivi hili jambo, linakaaje yani, limenichanganya mpaka sasa sijaoa, ushauri bha ndugu, nipeni uzoefu hapa,
 
Mazingira??... alianza kukuambia ?? Au mpaka wee ulipomuuliza ndo akakuambia?? .. Na Km ye ndo alianza, alikuambia baada ya muda muda gan kupita toka ipotee???


ona Chief , Hayo maswali yote majibu yake yatakua sawa na upuuzi ikiwa Mchunba wako haonyeshi mpango wa kuolewa, IPO ivi wanawake niwatu ambao kama Hakupendi au kama hana mpango wa Ndoa huwa Visa na matendo yake vinaonekana wazi, nahata anaweza kukuambia kabisa .....


So maadamu weee na ndo unajua anaongeleaje suala LA Kuoana kwenu, basi chukulia kama alipoteza kwa bahat mbaya.m



Sema kuna siku atakusahau sokoni hahahah
 
Mazingira yakupoteza, na je baada ya kuipoteza alikupa taarifa yeye au uligundua ilo wewe kabla yake kukutaarifu. Navyofahamu kuna mdada fulani namfaham alipoteza engagement ring ilitumbukia chooni alilia mno ila kwa uthamani hakumjulisha mtu wake na kwenda kuinunua pete kama ile nadhan baadae sana ndo alikuja kumtaarifu mwenza wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yapo mazingira zinaweza potea/ibiwa hujawa wazi kueleza mazingra, ila kama demu hakutaki na unafosi atakuwa kaiuza tu akunyooshe
 
Back
Top Bottom