Mchumba....mchumba....mchumba!

Joined
Sep 18, 2012
Posts
58
Reaction score
1
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21, ni mrefu, mwembamba, maji ya kunde...elimu yangu ni ya sekondari, ninatafuta mchumba ambae tutaoana baada ya kusomana tabia, sijali rangi,dini wala kabila....mengi tutazungumza tutakapowasiliana....aliye tayari namba angu ni 0762007094 (usibip tafadhari, piga au tuma msg nitakujibu)
 
utapata 2 dada angu hii ndo jf,ila omba sn Mungu akusaidie upate aliye siliaz kwel.
 

PAROKO MLA SADAKA, shame on you kwa kudharau uongozi wa kanisa na kujipa jina hilo, katu hutopata mtu hapa
 
Weka picha yako kwanza tukuthaminishe kama unalipa maana usije ukawa umefata sura ya baba

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
ebana kama wewe ni mrefu utasubiri sana maaaana majority ya wanaume sio warefu kivviiile yani medium height...sasa baadae usije ukaleta dizain ooh nataka kujiendeleza kielimu baby niongeezee school feees nin na nin patakua hapatoshi hapo....ova...
 
Miaka 21? unatafuta mchumba? yaani umezaliwa mwaka 1992? Ok nahis sina sifa maana nakuona kama bado mtoto. Mi saiz yangu anaweza kuwa dadako wa kwanza kuzaliwa kwenu anaekuzid miaka 9 hiv kama yupo mwambie anitafute
 
0767-128106
 
Miaka 21? unatafuta mchumba? yaani umezaliwa mwaka 1992? Ok nahis sina sifa maana nakuona kama bado mtoto. Mi saiz yangu anaweza kuwa dadako wa kwanza kuzaliwa kwenu anaekuzid miaka 9 hiv kama yupo mwambie anitafute
anakuzaa huyu sio mtoto
 
Ungweka na ka picha ingenogesha zaidi...si unajua wanaume wanazimikaga sana na wanachokiona kuliko wnachokisikia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…