Mchumba, mpenzi au mke wako ali wahi kukusitiri dhidi ya fedheha gani iliyokuchochea kumpenda na kumthamini zaidi?

Mchumba, mpenzi au mke wako ali wahi kukusitiri dhidi ya fedheha gani iliyokuchochea kumpenda na kumthamini zaidi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Katika maisha kuna mambo mbalimbali tunapitia kama binadamu, mengine ya furaha lakini pia mengine ni ya huzuni na ya kutisha....

Hivi ulishawahi kujikuta katika hali, kitendo au mazingira ya fedheha na aibu sana, na haukua na namna ya kuepuka fedheha hiyo, mara ghafla mpenzi, mchumba au mke wako akakunusuru na fedheha hiyo licha ya kua umemkwaza kwa mambo mengi lakini akaamua kufunika na kuikumbatia aibu yako...?

Na kwasababu hiyo, leo hii unamuheshimu sana, unamthamini mno na unampenda zaidi ya awali?

Ilikuaje na ilikua wapi 🐒
 
Kipindi fulani nilizuiliwa mshahara ofisini kwa karibu miezi mitatu. Kama sio huyu mwanamke ningedhalilika vibaya sana hapa mjini sema alisimama kidedea na hakuna hata mtu aliejua kama nna matatizo.

Huwa nawashangaa sana wanaosema usioe mwanamke mwenye kazi.
 
Countrywide Mungu akuweke sana, ufanyike baraka kwa watu wote wa nyumbani kwako na hata wale wanaokuzunguka.!! Sio JF tu ila unanipambania hata nje ya JF umekuwa mtu muhimu kwangu, unaweza kuona umefanya kwa udogo ila kwangu naviona kwa ukubwa..!! Kuna kitu ulinitendea mpk leo sisahau, nikikumbuka nazidi kukupenda leo kuliko jana. 😘💋💋
 
Dogo tafta kazi ya kufanya achana na huu upuuzi,usiku wa manane watu wamepumzika we kutwa kucha uko bize na jf as if unalipwa
ulikua una wanga nini muda ule gentleman 🐒

maana mie ndio nilikua nimeiacha dodoma tu kuitafuta Mwanza kikazi, baada ya kazi nzito sana mchana mchana kutwa kuichambua kwa kina bajeti muhimu na ya maana sana ya serikali....

usafiri wa gari bana ata liwe jipya au zuri kiasi safari ya mbali usiku ni changamoto sana 🐒
 
Countrywide Mungu akuweke sana, ufanyike baraka kwa watu wote wa nyumbani kwako na hata wale wanaokuzunguka.!! Sio JF tu ila unanipambania hata nje ya JF umekuwa mtu muhimu kwangu, unaweza kuona umefanya kwa udogo ila kwangu naviona kwa ukubwa..!! Kuna kitu ulinitendea mpk leo sisahau, nikikumbuka nazidi kukupenda leo kuliko jana. 😘💋💋
Akishndwa kujaa kingi kwa hizi vocal...ni DM nna mganga fundi
 
Countrywide Mungu akuweke sana, ufanyike baraka kwa watu wote wa nyumbani kwako na hata wale wanaokuzunguka.!! Sio JF tu unanipambania ila hata nje ya JF umekuwa mtu muhimu kwangu, unaweza kuona umefanya kwa udogo ila kwangu naviona kwa ukubwa..!! Kuna kitu ulinitendea mpk leo sisahau, nikikumbuka nazidi kukupenda leo kuliko jana. 😘💋💋
kwa ushuhuda huu wa hadharini namna hii, tena wa upendo usioghoshiwa na wenye kutanguliza shukrani kwa Mungu, ni hakika Neema na Baraka za Mungu sasa zimeshamiri na kustawi sana ndani yenu, na daima zitaambatana na kuandamana nanyi katika kila hali, kazi na majukumu yenu ya kila siku....

inafurahisha na kutia moyo sana, sifa, shukran na Utukufu ni kwa Mungu.....

Mungu aendelee kuwa Baraka miongoni mwenu,
Aimen..

🐒
 
kwa ushuhuda huu wa hadharini namna hii, tena wa upendo usioghoshiwa na wenye kutanguliza shukrani kwa Mungu, ni hakika Neema na Baraka za Mungu sasa zimeshamiri na kustawi sana ndani yenu, na daima zitaambatana na kuandamana nanyi katika kila hali, kazi na majukumu yenu ya kila siku....

inafurahisha na kutia moyo sana...

Mungu aendelee kuwa Baraka miongoni mwenu,
Aimen..

🐒
Aiiiiimeen 🙏
Na ikawe hivyo in Jesus name
 
Katika maisha kuna mambo mbalimbali tunapitia kama binadamu, mengine ya furaha lakini pia mengine ni ya huzuni na ya kutisha....

Hivi ulishawahi kujikuta katika hali, kitendo au mazingira ya fedheha na aibu sana, na haukua na namna ya kuepuka fedheha hiyo, mara ghafla mpenzi, mchumba au mke wako akakunusuru na fedheha hiyo licha ya kua umemkwaza kwa mambo mengi lakini akaamua kufunika na kuikumbatia aibu yako...?

Na kwasababu hiyo, leo hii unamuheshimu sana, unamthamini mno na unampenda zaidi ya awali?

Ilikuaje na ilikua wapi 🐒


Hawana maana, sina sababu hata ya kukumbuka, amefanya sana, halafu anakusaliti, inafuta yote hayo.
 
Hawana maana, sina sababu hata ya kukumbuka, amefanya sana, halafu anakusaliti, inafuta yote hayo.
wap hawana maana?
wakike au wa kiume?

zingatia shuhuda za wangwana hapo juu, zinaweza kuongoza na ukajiasess na huenda ukabaini kuna mahali ulisitiriwa na mwenza wako dhidi ya fedheha ambayo ingekukumba 🐒
 
wap hawana maana?
wakike au wa kiume?

zingatia shuhuda za wangwana hapo juu, zinaweza kuongoza na ukajiasess na huenda ukabaini kuna mahali ulisitiriwa na mwenza wako dhidi ya fedheha ambayo ingekukumba 🐒


Halafu akanisaliti? Bora asingenisitiri tu.
 
Back
Top Bottom