Mkuu Dullah if you don't mind nakushauri haraka saana Edit. Hili jukwaa ni wengi saana na inakua kama umelimit kwa kutaja, Hivo nakushauri fanya hivo mara moja itasaidia utapata variety ya majibu... Please do that narudi baada ya mda mfupi....
jamani wazee wa jamvi habari zenyu.
mimi nimepata mchumba mpya 2medate 2kutane lkn yy bikira, so napenda niwaulize maswali macache.
1. je nikukutana nae naweza kurudia zaidi ya mara moja?
2. je, akiumia baada ya kufanya mapenzi atakubali kuolewa na mimi?
wazee naomba mawazo yenu co jokes hii ki2 ni kweli kabisa.
natanguliza shukran zangu
mimi Dulla.
Bikira aliyonayo ni ya wapi.
Hebu fafanua.
OTIS.