Coza Mhando
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 194
- 7
we vp?tatizo apo ninin?
kumuuliza mchumba juu ya mila za kwao za kurara(mkurya) na kabint au KUNA TATIZO KWA MCHUMBA WAKO?
mmmh watu wengne wanapnda kutuma post ata km hana tatzo....KIUKWELI TATIZO NINI APO?
..NIMEIRUDIA MARA 8 SJAONA PBM..KM ISSUE KURARA NA KIGORI ni issue ya mila inamusishaje mchumba wako mpk ushtuke?
..uko kwenu akunaga mila za ajabu ajabu ata moja?
..unaoa mtu au unaoa kabila?
...theme niliopata apa ni kwamba UMEPATA MCHUMBA N THATS BIG CONGRATS BRAZA....wsh u ol da best...
Wewe!!!!!:embarrassed::embarrassed:
Wewe!!!!!:embarrassed::embarrassed:
Hommie sipendi ivo ujue? (Mbona hujarudisha call yangu jana bana....)
Najuuuuuuuuta yaliyonikuta wanajamii!,
mke mtarajiwa niliyekuwa namtafuta nimempata,nimewasiliana nae kama mara 6 hivi na tumeelewana vizuri,na
taratibu za washenga zimeshaanza.
Yeye kwa kabila ni wa kutoka kule kaskazini magharibi mwa hii Tz yetu.
Cha kushtusha nimedokezwa na ndugu yangu ambaye anaishi maeneo ya mji ule lilipoanzia timbwili la kumng'oa "nduri", kwa muda mrefu!.
Amenistua sana na sijui ni mila au ni desturi ya kabila hili kwamba mgeni wa kiume akitembelea kule,muda wa ucku anapotaka kulala,haruhusiwi kulala peke yake lazima apewe kabinti alale nako kama kiburudisho.!
hii ishu ni kweli jamani?
Huyu mchumba naogopa kumuuliza ila najua ataisoma hii post!,
karibuni wanaJF.
katibu ajaamka enh?
sasa utaoa wawili au hako kabinti kengine inakuaje unazini tuu alafu wakiachaa???nazungumzia hicho kiburudisho jamani????but inshallah kheyr i wish u all dah best my boy,,,,,,,,,:A S crown-1:
Mimi nayashangaa haya maneno ya Rose kuliko thread yenyewe..actually yangefaa kuwa ndo original thread!...Sijui kama niko peke yangu katika mshangao huu!...dunia hii pana jamani!we vp?tatizo apo ninin?
kumuuliza mchumba juu ya mila za kwao za kurara(mkurya) na kabint au KUNA TATIZO KWA MCHUMBA WAKO?
mmmh watu wengne wanapnda kutuma post ata km hana tatzo....KIUKWELI TATIZO NINI APO?
..NIMEIRUDIA MARA 8 SJAONA PBM..KM ISSUE KURARA NA KIGORI ni issue ya mila inamusishaje mchumba wako mpk ushtuke?
..uko kwenu akunaga mila za ajabu ajabu ata moja?
..unaoa mtu au unaoa kabila?
...theme niliopata apa ni kwamba UMEPATA MCHUMBA N THATS BIG CONGRATS BRAZA....wsh u ol da best...
Sasa hapo kinachokushtua nini?kwa mujibu wa maelezo yako unapewa,hakuna rape case hapo we kamilisha tu hiyo mila. Nadoubt kama kuna kitu kama hicho nway.
we vp?tatizo apo ninin?
kumuuliza mchumba juu ya mila za kwao za kurara(mkurya) na kabint au KUNA TATIZO KWA MCHUMBA WAKO?
mmmh watu wengne wanapnda kutuma post ata km hana tatzo....KIUKWELI TATIZO NINI APO?
..NIMEIRUDIA MARA 8 SJAONA PBM..KM ISSUE KURARA NA KIGORI ni issue ya mila inamusishaje mchumba wako mpk ushtuke?
..uko kwenu akunaga mila za ajabu ajabu ata moja?
..unaoa mtu au unaoa kabila?
...theme niliopata apa ni kwamba UMEPATA MCHUMBA N THATS BIG CONGRATS BRAZA....wsh u ol da best...
mimi nayashangaa haya maneno ya rose kuliko thread yenyewe..actually yangefaa kuwa ndo original thread!...sijui kama niko peke yangu katika mshangao huu!...dunia hii pana jamani!
Mimi nayashangaa haya maneno ya Rose kuliko thread yenyewe..actually yangefaa kuwa ndo original thread!...Sijui kama niko peke yangu katika mshangao huu!...dunia hii pana jamani!
we vp?tatizo apo ninin?
kumuuliza mchumba juu ya mila za kwao za kurara(mkurya) na kabint au KUNA TATIZO KWA MCHUMBA WAKO?
mmmh watu wengne wanapnda kutuma post ata km hana tatzo....KIUKWELI TATIZO NINI APO?
..NIMEIRUDIA MARA 8 SJAONA PBM..KM ISSUE KURARA NA KIGORI ni issue ya mila inamusishaje mchumba wako mpk ushtuke?
..uko kwenu akunaga mila za ajabu ajabu ata moja?
..unaoa mtu au unaoa kabila?
...theme niliopata apa ni kwamba UMEPATA MCHUMBA N THATS BIG CONGRATS BRAZA....wsh u ol da best...
Mimi nayashangaa haya maneno ya Rose kuliko thread yenyewe..actually yangefaa kuwa ndo original thread!...Sijui kama niko peke yangu katika mshangao huu!...dunia hii pana jamani!
Kama unaona mila za makabila ya wenzio hazifai, nakushauri uende ukaoe mke kutoka kabila kwenu ili mfanane kitabia wee na mkeo.