Mchumba nimempata lakini...............!!!????

harufu ya ban inasikika kwa mbaali, punguza jwaziba mtafuta mchumba, sasa wachumba si watakimbia kamaradi

aah hata ikiwa total ban,
haka kamila kabovu,
wachumba wa kanda ile lazima wakimbie
 
sasa utaoa wawili au hako kabinti kengine inakuaje unazini tuu alafu wakiachaa???nazungumzia hicho kiburudisho jamani????but inshallah kheyr i wish u all dah best my boy,,,,,,,,,:A S crown-1:

unaburudika tu,
 
Sasa hapo kinachokushtua nini?kwa mujibu wa maelezo yako unapewa,hakuna rape case hapo we kamilisha tu hiyo mila. Nadoubt kama kuna kitu kama hicho nway.

kipo amin, amin amin nawaambia!
 
Haya mambo ya kuoneshana bado yapo kumbe hata karne hii? Nakumbuka zamani hizo ulikuwa ukimuendea mdada mkikubaliana anataka aone kwanza usipoonesha ajipimie basi umekosa.

Sasa kama wewe upo flesh na umempenda muoneshe tu kwani hatoichukua .
 
nini six days bana, one day inatosha tena kupitia kwenye simu.
hutaki kuamini!? muulize wakuchakachua atakupa stori yake
au nenda hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/101060-nimepata-jamani.html


 
kwani problem ni nini? wewe muonyeshe hiyo kitu
kisha muombe na yeye akuonyeshe kitu yake

 
Haya mambo ya kuoneshana bado yapo kumbe hata karne hii? Nakumbuka zamani hizo ulikuwa ukimuendea mdada mkikubaliana anataka aone kwanza usipoonesha ajipimie basi umekosa.

Sasa kama wewe upo flesh na umempenda muoneshe tu kwani hatoichukua .

mi niko flesh bana,ishu ya kumuonyesha ni ndogo tu,
ila ananipa maswal mengi cna,co pasua kichwa huyu??
 
kaka fungua zipu....shusha chupi....toa mzigo.
kwani akiona ataondoka nayo?
sasa na mimi naingiwa na wasiwasi na wewe......kibamia nini?

aah aah aah aah!,wewe eti kibamia,co bana, ni rungu kabisa lenyewe..
 
aah aah aah aah!,wewe eti kibamia,co bana, ni rungu kabisa lenyewe..

sasa tatizo nini kumuonesha?
tena ukimuonesha sisitiza ashikilie kwa ka dakika 3 hivi majibu baada ya hapo niletee
 
kaka fungua zipu....shusha chupi....toa mzigo.
kwani akiona ataondoka nayo?
sasa na mimi naingiwa na wasiwasi na wewe......kibamia nini?

aah aah aah aah!,wewe eti kibamia,co bana, ni rungu kabisa lenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…