Snitch2020
Member
- Aug 24, 2017
- 77
- 91
Habari za mchana wadau.
Sitaki kuwa mzungushaji kwa kuandika maneno kibao.
Mimi ni kijana wa kitanzania late 20's nimeishi nchi mbalimbali na sasa nimeamua kuhamishia makaz yangu Tz japo naona kama kuna dalili ya kuondoka tena kwa sababu hali niliyoikuta siyo niliyoitegemea.
Nahitaji mwanamke kuanzia 20~33 ambaye hajazaa, dini yoyote, kabiala lolote, umbo lolote ila kilo asizidi 70 na asipungue 50.
Awe tayari kuishi Tz ama nje ya Tz, awe tayari kuanza maisha from the scratch kwasababu hakuna alieanza na maisha ya juu. Kama upo tayari email me ur CV at rsteven95@gmail.com ukiambatanisha na picha yako ili kuweza kuitwa kwaajili ya interview. Au pm me kwa mawasiliano zaidi.
NOTE: Kwa walio mikoani nje ya Dar pia mnaruhusiwa kutuma maombi yenu na atakayefanikiwa atafuatwa/atatumiwa nauli ya kuja mpaka Dar kwaajili ya interview.
Karibuni sana na natumaini kusikia kutoka kwenu very soon.
Nitawaletea mrejesho baada ya wiki
Sitaki kuwa mzungushaji kwa kuandika maneno kibao.
Mimi ni kijana wa kitanzania late 20's nimeishi nchi mbalimbali na sasa nimeamua kuhamishia makaz yangu Tz japo naona kama kuna dalili ya kuondoka tena kwa sababu hali niliyoikuta siyo niliyoitegemea.
Nahitaji mwanamke kuanzia 20~33 ambaye hajazaa, dini yoyote, kabiala lolote, umbo lolote ila kilo asizidi 70 na asipungue 50.
Awe tayari kuishi Tz ama nje ya Tz, awe tayari kuanza maisha from the scratch kwasababu hakuna alieanza na maisha ya juu. Kama upo tayari email me ur CV at rsteven95@gmail.com ukiambatanisha na picha yako ili kuweza kuitwa kwaajili ya interview. Au pm me kwa mawasiliano zaidi.
NOTE: Kwa walio mikoani nje ya Dar pia mnaruhusiwa kutuma maombi yenu na atakayefanikiwa atafuatwa/atatumiwa nauli ya kuja mpaka Dar kwaajili ya interview.
Karibuni sana na natumaini kusikia kutoka kwenu very soon.
Nitawaletea mrejesho baada ya wiki