sun shine
Member
- Apr 23, 2011
- 13
- 1
Nawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai.
Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili.
Nina umri wa miaka 28 na nina elimu ya chuo kikuu.
tafadhali sana kama kuna binti alie single naomba anitumie ujumbe mfupi.
Sifa kuu ni kama ifuatavyo.
1.mcha Mungu.
2.awe na anajitegemea.
Im so serious girls...this aint a joke.
Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili.
Nina umri wa miaka 28 na nina elimu ya chuo kikuu.
tafadhali sana kama kuna binti alie single naomba anitumie ujumbe mfupi.
Sifa kuu ni kama ifuatavyo.
1.mcha Mungu.
2.awe na anajitegemea.
Im so serious girls...this aint a joke.