Nawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai.
Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili.
Nina umri wa miaka 28 na nina elimu ya chuo kikuu.
tafadhali sana kama kuna binti alie single naomba anitumie ujumbe mfupi.
Sifa kuu ni kama ifuatavyo.
1.mcha Mungu.
2.awe na anajitegemea.
Im so serious girls...this aint a joke.
hapo kwenye blue sijaelewa, so ukimpata huyo mwanadani unavua gamba la JF?
You've just spoken my woirds Susy,
Inamaana hakuna kingine chochote anachohitaji kutoka jf zaidi ya mchumba.
mmmh kaaaaazi kweli kweli
Raia acheni basi hizo mambo za kujadili neno kwa neno.Inaonekana huyu kaja strategically. Kumbe JF kuna wachumba eeh, ngoja tusubiri ukamilifu wa dahari.
Inaonekana huyu kaja strategically. Kumbe JF kuna wachumba eeh, ngoja tusubiri ukamilifu wa dahari.
Raia acheni basi hizo mambo za kujadili neno kwa neno.
Atakuja mchangiaji atasema ulitakiwa kuweka nukta badala ya mkato.
Nia yangu ni kupata mchumba ila sijasema kuwa nikipata mchumba naondoka Jf.
Cant you reserve your negative opinions?
Hebu tuletee Audited Bank Statement yako kwanza mimi siwezi kukupa dada yangu halafu akapate shida, hajazoea shida kabisaNawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai.
Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili.
Nina umri wa miaka 28 na nina elimu ya chuo kikuu.
tafadhali sana kama kuna binti alie single naomba anitumie ujumbe mfupi.
Sifa kuu ni kama ifuatavyo.
1.mcha Mungu.
2.awe na anajitegemea.
Im so serious girls...this aint a joke.
Hebu tuletee Audited Bank Statement yako kwanza mimi siwezi kukupa dada yangu halafu akapate shida, hajazoea shida kabisa
Tena na hivi simjui inabidi aje na referees watano ili nipate uhakika zaidi wote wawe na passport zao na vyeti vya kuzaliwayou know what i mean...thats what am talking about......:hug:
Raia acheni basi hizo mambo za kujadili neno kwa neno.
Atakuja mchangiaji atasema ulitakiwa kuweka nukta badala ya mkato.
Nia yangu ni kupata mchumba ila sijasema kuwa nikipata mchumba naondoka Jf.
Cant you reserve your negative opinions?
Tena na hivi simjui inabidi aje na referees watano ili nipate uhakika zaidi wote wawe na passport zao na vyeti vya kuzaliwa