Mchumba wa kike umrimiaka 20-25

braniac01

New Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
1
Reaction score
0
Habari wana JF natafuta mchumba wa kike
Sifa
1 awe mkweli kweny mahusiano
2 mchapakazi
3 mcheshi
4 awe na elimu ya kujitambua
5 maji ya kunde mrefu kidogo sio mnene san
6 awr dar es salaam


Njoo PM kwa more zaidi
 
sifa zako hujaweka, anyway kila la kheri
 
Tafuta pisi kali mtaani uitakayo ,huku mtandaoni ni kubahatisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…