Afadhali umesema Kaka asanteKijana hayo sasa ni matusi
Umri wa 35 - 40 awe amemaliza ujana? labda wa kijijini
halafu kuhusu mnywa pombe hcho kipengele kitoe akifika ndani utamrekebisha wengine wanakunywa kwa ajili ya stress bora tu asiwe mlevi.Sawa
halafu kuhusu mnywa pombe hcho kipengele kitoe akifika ndani utamrekebisha wengine wanakunywa kwa ajili ya stress bora tu asiwe mlevi.
huku bongo wanaume wanakunywa utadhani wametumwa
halafu walokole nao sio kabisa ulokole ni maisha ya mtu tu anaweza kuwa mlokole ila hafai kwa matumizi
wapo watu hawajiiti walokole ila ni wastaarabu sana
uvutaji sijasema ila mnywaji kawaida tuu.hata biblia haijakataza pombe mbona?Kwa unywaji na uvutaji hapana , hainaga kubadilika akiwa ndani au kummbadilisha akishanioa . Wakati ni sasa kabla ya ndoa . Bado nashukuru kwa ushauri
Hapana Dadauvutaji sijasema ila mnywaji kawaida tuu.hata biblia haijakataza pombe mbona?
Salama KakaHabari dotodoto naomba tuwasiliane kwa chikongolo@gmail.com
Mimi ni mlokole, lakini haka kachupa ndio kana niangusha dhambini[emoji39] [emoji39]kijana wa kilokole aliye serious na ulokole huwez kumpata kwa style hii dada yangu
Mimi ni mlokole, lakini haka kachupa ndio kana niangusha dhambini[emoji39] [emoji39] View attachment 383878
Hua kananikata kiu kila baada ya kula ugali[emoji39] [emoji39] na mlenda, kisha nashushia na juice ya tende kabla sijakunywa kikombe moja ya maziwa mtindi.hahaaaaaa mkuu kapombe,kanakukosesha na ufalme wa mbinguni lol