muombe mungu then katika maombi yako weka ishara ambayo itakufanya ujue kua huyo mtu ndio mungu kakuchagulia,ishara iwe unique ili uweze kujua kwa urahisi.yote yanawezekana kwa mungu.heshimu uchaguzi wa mungu kwako maana yeye anakufahamu vyema na anajua mahitaji yako.